goriath son
Member
- Jan 20, 2016
- 32
- 32
Habari mbaya kwetu
Duh!! Mkuu ume nivunja mbavu.Yote haya sababu ni Lowasa
kwa wale wanaofuatilia Fx Market au Forex traders watakuwa wali note During ASIAN TIME Soko limetulia sana ... LONDON TIME ... EU/USD ilikuwa iki trend down kuanzia mwanzoni mwa January... nadhani hii vita inayoendelea middle east na ugomvi kati ya SAUD & IRAN ikichangiwa na bei ya mafuta kushuka.... yaani its not a good month for traders at all ...
Explain bro,ulixhokiongea sidhani kama kimekaa kitaaluma au kisomi zaidi, losing or gaining vyote vinawezekana kktk investment,sasa wewe ulipaswa uonyeshe umahiri wako kwenye hicho ulichokisema, I.e kifafanue kama wenzako waliotangulia walivyofanya.FX Traders wakati huu wapo kwenye hatari ya ku-loose sana au ku-gain sana.
Kila kitu kinaanzia kwenye oil business,importers wao wakubwa ni hao waarabu na wengi wao sasa wana run deficits kutokana na kushuka kwa oil price,tatizo la Chinese Economy inategemea sana export sasa wa kumuuzia kawa maskini na reality ya oil business inaelekea kuzimu kutokana na technology na uwezo mkubwa wa US sasa kuwa na mafuta yake na gas mwenyewe,Iran & Saudi ni non factor na hawana lolote zaidi ya visima ambavyo ni hasara tuu sasa,soon big Economies like US wataachana kabisa na oil business maana technology ndio inaelekea huko,usalama wa Chinese lazima waache kutegemea Export economy maana wa kumuuzia soon atapoteakwa wale wanaofuatilia Fx Market au Forex traders watakuwa wali note During ASIAN TIME Soko limetulia sana ... LONDON TIME ... EU/USD ilikuwa iki trend down kuanzia mwanzoni mwa January... nadhani hii vita inayoendelea middle east na ugomvi kati ya SAUD & IRAN ikichangiwa na bei ya mafuta kushuka.... yaani its not a good month for traders at all ...
That's everyday na ndio nature ya forex business maana to gain lazima uwe on the majority of sale/buy side,pesa haipotei in thin air your loss is someone gain somewhereFX Traders wakati huu wapo kwenye hatari ya ku-loose sana au ku-gain sana.
That's everyday na ndio nature ya forex business maana to gain lazima uwe on the majority of sale/buy side,pesa haipotei in thin air your loss is someone gain somewhere
FX Traders wakati huu wapo kwenye hatari ya ku-loose sana au ku-gain sana.
Explain bro,ulixhokiongea sidhani kama kimekaa kitaaluma au kisomi zaidi, losing or gaining vyote vinawezekana kktk investment,sasa wewe ulipaswa uonyeshe umahiri wako kwenye hicho ulichokisema, I.e kifafanue kama wenzako waliotangulia walivyofanya.
Kila kitu kinaanzia kwenye oil business,importers wao wakubwa ni hao waarabu na wengi wao sasa wana run deficits kutokana na kushuka kwa oil price,tatizo la Chinese Economy inategemea sana export sasa wa kumuuzia kawa maskini na reality ya oil business inaelekea kuzimu kutokana na technology na uwezo mkubwa wa US sasa kuwa na mafuta yake na gas mwenyewe,Iran & Saudi ni non factor na hawana lolote zaidi ya visima ambavyo ni hasara tuu sasa,soon big Economies like US wataachana kabisa na oil business maana technology ndio inaelekea huko,usalama wa Chinese lazima waache kutegemea Export economy maana wa kumuuzia soon atapotea
View attachment 319190
Angalia hii Chat HAPO JUU ya Eur/USD ... CHECK HOW BEARISH trend line nimechora bila tabu from top to down .....
!!"SWEEEET EHHH Ndio maana watu wanasema more successfully FX TRADERS NI WALE WA HIGHER TIME FRAME "
.... kama kungekuwa na Mtu In forex market he/she went short kuanzia hapo kwenye RED ARROW na Kuja kuchuwa Profit Chini kwenye BLACK ARROW angetengeneza profit kubwa sana nadhani asinge trade mwaka mzima...
anyways angalia nilipo highlight BLUE kuanzia 27th Nov till today still bearish movement !! Na itazidi kwenda chini mpaka OIL itulie au kule mashariki ya kati kutulie kimtindo ...
BTW HII DAILY CHART !!
Mkuu Njiwa Habari yako.
Naomba kuuliza kama unamtumia OANDA kama broker wako.
Kingine, kwa hiyo USD/EUR trade, kama unazo Euro unauza basi kwa hiyo trend utapata faida sana kwasababu Doller inashuka na Euro inapanda thamani.
CC. Davion Delmonte Jr.
Mkuu bado sijaanza live trading... niko nafanya demo pia nachukuwa lessons from hapa
Complete Trading Education- Forex Military School
pamoja na lessons from scientific forex unaweza download video zao pamoja na indicators ...
kuhusu OANDA nina plan kuanza nao ndio maana nimechagua platform yao nipate kuzoea kilichonivutia hawana minimum deposit s ila sijajua kuhusu lavarage na spread zao inakuwaje ...
Mkuu Bavaria bila shaka umeshaanza demo au?Mkuu Njiwa Habari yako.
Naomba kuuliza kama unamtumia OANDA kama broker wako.
Kingine, kwa hiyo USD/EUR trade, kama unazo Euro unauza basi kwa hiyo trend utapata faida sana kwasababu Doller inashuka na Euro inapanda thamani.
CC. Davion Delmonte Jr.
njiwa vip upo kwenye ulimwengu wa forex? au bado mgeni...kwa wale wanaofuatilia Fx Market au Forex traders watakuwa wali note During ASIAN TIME Soko limetulia sana ... LONDON TIME ... EU/USD ilikuwa iki trend down kuanzia mwanzoni mwa January... nadhani hii vita inayoendelea middle east na ugomvi kati ya SAUD & IRAN ikichangiwa na bei ya mafuta kushuka.... yaani its not a good month for traders at all ...
Aisee the answer is NO and YES nlidhani nimeshakuwa expert ila nimegundua kuwa successful kwenye hii business kuna mambo mengi sana nyuma, ila sio mbaya naendelea kufunika magap maana naogopa kuanza live bila kujiimarisha vya kutosha maana pesa yenyewe hii ya kulenga kwa manati nikiingia kichwa kichwa nita blow up account.Nafukuza ndege shambani.
Nadhani umeshakuwa expert wa nguvu.
njiwa vip upo kwenye ulimwengu wa forex? au bado mgeni...
Kuna sehemu nilisoma wana sema OANDA ni scam.
Umepata reviews za kutosha?
Binary umeweza vipi mkuu? Mi naona it is more gambling.. hata mimi nlikuwa napenda sana ku trade binary one day sema sasa brokers wake kila nikiwa search naona kama most ni scamsnilikuwa kwenye ulimwengu wa binary options na hawa jamaa wa Online Forex Trading - Currencies, CFD & Spot Trading still nipo nao
ulimwengu wa forex mimi ni mgeni mwenyeji ... I`m trading Demo huku nikijifunza strategies tofauti tofauti ..
kumbe kuna wadau wa Fx humu! .. kama vipi anzisheni Uzi tujifunze ! najua kutakuwa na experts humu we will learn from them
Kuna sehemu nilisoma wana sema OANDA ni scam.
Umepata reviews za kutosha?
Binary umeweza vipi mkuu? Mi naona it is more gambling.. hata mimi nlikuwa napenda sana ku trade binary one day sema sasa brokers wake kila nikiwa search naona kama most ni scams