Lodrick Thomas JF-Expert Member Jan 24, 2017 1,339 2,430 Jun 20, 2017 #1 Huwaga nashindwa kuwaelewa kabisa hawa watu!! Sijui hawaishi Tanzania?? Au wanaishi Tanzania wa vi-wonder?
Huwaga nashindwa kuwaelewa kabisa hawa watu!! Sijui hawaishi Tanzania?? Au wanaishi Tanzania wa vi-wonder?
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,373 94,565 Jun 20, 2017 #2 Hayo maneno ya bungeni ila TRA wanajua ukweli na ndio maana hawataji siku hizi
BEDUI Jr JF-Expert Member Dec 15, 2016 2,041 2,836 Jun 20, 2017 #3 Ngoja waje akina Lipumba Japo hii ni nafasi niliokaa ni ya [HASHTAG]#Joseverest[/HASHTAG]
Upepo wa Pesa JF-Expert Member Aug 8, 2015 21,257 34,205 Jun 20, 2017 #6 The choosen One said: Ivi kumbe wallet bado zipo Click to expand... Kwani wewe huna mkuu?
The Chosen One JF-Expert Member May 24, 2017 3,577 17,003 Jun 20, 2017 #7 Upepo wa Pesa said: Kwani wewe huna mkuu? Click to expand... Ntaweka nn
Come27 JF-Expert Member Dec 1, 2012 7,504 7,108 Jun 20, 2017 #8 Lodrick Thomas said: Huwaga nashindwa kuwaelewa kabisa hawa watu!! Sijui hawaishi Tanzania?? Au wanaishi Tanzania wa vi-wonder? Click to expand... Ungekuwa umesoma uchumi ungeelewa, sasa kama ukusoma uchumi unataka uelewe nn? Wewe kaaa usubirie Gari yako ya Noah
Lodrick Thomas said: Huwaga nashindwa kuwaelewa kabisa hawa watu!! Sijui hawaishi Tanzania?? Au wanaishi Tanzania wa vi-wonder? Click to expand... Ungekuwa umesoma uchumi ungeelewa, sasa kama ukusoma uchumi unataka uelewe nn? Wewe kaaa usubirie Gari yako ya Noah
miss chagga JF-Expert Member Jun 7, 2013 57,821 48,976 Jun 20, 2017 #9 lia tu mkuu wengine tumeotea dili mahali
kadagala1 JF-Expert Member Nov 23, 2016 5,941 6,213 Jun 20, 2017 #10 The choosen One said: Ntaweka nn Click to expand...
Yudasti JF-Expert Member Jan 22, 2017 926 1,262 Jun 20, 2017 #11 Mkuu mtafute miss chagga ana majibu ya matatizo yako
BEDUI Jr JF-Expert Member Dec 15, 2016 2,041 2,836 Jun 20, 2017 #12 Come27 said: Ungekuwa umesoma uchumi ungeelewa, sasa kama ukusoma uchumi unataka uelewe nn? Wewe kaaa usubirie Gari yako ya Noah Click to expand... Sent from my GT-I9192 using JamiiForums mobile app
Come27 said: Ungekuwa umesoma uchumi ungeelewa, sasa kama ukusoma uchumi unataka uelewe nn? Wewe kaaa usubirie Gari yako ya Noah Click to expand... Sent from my GT-I9192 using JamiiForums mobile app