Oyaa Mkuu Mbeyaman ,Halafu wenye vipesa vyetu vya upatu huko Supermarket mnaenda kutafuta nini.
Yaani 200 ya mfuko unapiga kelele?
Hembu tuzipe heshima Super markets,kila kitu kina hadhi yake.
Kuna watu juzi wamelalamikia mia mia,leo mia mbili za mfuko.
Kuna watu wengine huwa wakienda wanafanya kusudi pale na masifa kibao,wanaomba mifuko teleee kila bidhaa anataka ipewe mfuko wake.Wasumbufu sana,sasa ni bora kuweka huu utaratibu ili kufidia gharama za mifuko.