Huwa nashangaa sana wa2 kulalamika wakati hamuishi kuchungulia humu, kila achunguliae MMU anapenda vinavyopostiwa humu halaf mnaanza kujishaua oh kwa jukwaa la MMU wa2 wengi wakati na ww ni mmoja wao ktk kuongeza hiyo idadi. Mimi sijawah kabisa kuchungulia jukwaa la siasa wala uchumi kwan spendi wala sielewi kwanza nchi yenyewe inaendeshwa na wa2 25 tu halafu niende nikajitie steress kule mwe mmbanu!!!