Uchumi bwege.

Uchumi bwege.

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
12,139
Reaction score
33,552
Uchumi bwege ni aina ya uchumi ambayo imeshika hatamu kwenye dating pool katika kizazi tulichopo. Uchumi huu umewapumbaza wanawake na kufikiri hawawajibiki na bill zao.

Uwanja wa mahusiano umepinduka na mzizi wa tatizo ni "uchumi bwege". Uchumi huu umewafanya wanaume mabwege wawe waangaikaji ku-fullfill ego za wanawake ambao hawaongezi thamani yoyote katika maisha ya wanaume hao.

Leo hii mwanamke haitajiki kufanya kazi kwa bidii au kuanzisha miradi ya kibiashara ili aweze kuishi lifestyle anayoitaka, anachotakiwa kukifanya ni kuzigawa tu bill kwenye network yake ya mabwege.

Mwanamke anataka iphone pro max?, rahisi kabisa. Anachagua mabwege 30 kwenye contact list yake anawapiga mzinga wa 50K kila mmoja. Mabwege wanafikiria wanasaidia tu huku wakiwa na matarajio ya kupata attention ya uyo mwanamke au kupewa mbususu.

Mwisho wa siku ndio hivyo mwanamke anatumia ujinga wa hawa mabwege ku-upgrade lifestyle yake bila kuinua hata mkono mmoja kufanya kazi.

Uchumi bwege umeleta balaa. Uchumi huu umepandisha ego ya wanawake wa kawaida kabisa, umeshusha thamani hustle zinazoheshimika, umeondoa uaminifu katika mahusiano, na umewafanya wanawake masikini waamini wao sio masikini isipokua wapo katika mahusiano na mwanaume asiekua na hela.

Ndio maana katika kizazi tulichopo mwanamke asiekua na hela hajioni kama yeye ni masikini, badala yake anawaona wanaume ndio masikini. Hii ni kwa sababu masimp wamemfundisha hatakiwi kufanya kazi kuweza kumudu mahitaji yake, anachotakiwa kukifanya ni kupendeza tu na kupost edited videos zake za kubinua matako instagram na tiktok, then mabwege watamfuata DM.

Men, stop funding the illusion. Let that broke woman fix herself or stay that way, it not your problem. Any woman who build nothing but wants everything she is a parasite, and any man who funds her he is a part of the problem.

Remember, in the end all your time, sacrifices and efforts will be rewarded with one question, "did i ever force you to do all that for me?"

Don't be a simp
 
Mwanamke anataka iphone pro max?, rahisi kabisa. Anachagua mabwege 30 kwenye contact list yake anawapiga mzinga wa 50K kila mmoja.

Ndio maana katika kizazi tulichopo mwanamke asiekua na hela hajioni kama yeye ni masikini, badala yake anawaona wanaume ndio masikini.
Na kwa sababu ana pussy ndio inakuwa nyenzo yake kuu ya kiuchumi. Na "mabwege" hutoa kila walichonacho kuhakikisha hata "backdoor" wanapita
 
Na kwa sababu ana pussy ndio inakuwa nyenzo yake kuu ya kiuchumi. Na "mabwege" hutoa kila walichonacho kuhakikisha hata "backdoor" wanapita
Halafu mwanamke uyo ukishafika 30's sasa ashakua single mother, ana kitambi, matiti yameshuka kama kandambili, hapati tena attention ya wanaume, atajifanya wife material na wapo mashujaa kama Vishu Mtata watampokea kwa mikono miwili kwa kigezo kwamba amepevuka kiakili
 
Uchumi bwege ni aina ya uchumi ambayo imeshika hatamu kwenye dating pool katika kizazi tulichopo. Uchumi huu umewapumbaza wanawake na kufikiri hawawajibiki na bill zao.

Uwanja wa mahusiano umepinduka na mzizi wa tatizo ni "uchumi bwege". Uchumi huu umewafanya wanaume mabwege wawe waangaikaji ku-fullfill ego za wanawake ambao hawaongezi thamani yoyote katika maisha ya wanaume hao.

Leo hii mwanamke haitajiki kufanya kazi kwa bidii au kuanzisha miradi ya kibiashara ili aweze kuishi lifestyle anayoitaka, anachotakiwa kukifanya ni kuzigawa tu bill kwenye network yake ya mabwege.

Mwanamke anataka iphone pro max?, rahisi kabisa. Anachagua mabwege 30 kwenye contact list yake anawapiga mzinga wa 50K kila mmoja. Mabwege wanafikiria wanasaidia tu huku wakiwa na matarajio ya kupata attention ya uyo mwanamke au kupewa mbususu.

Mwisho wa siku ndio hivyo mwanamke anatumia ujinga wa hawa mabwege ku-upgrade lifestyle yake bila kuinua hata mkono mmoja kufanya kazi.

Uchumi bwege umeleta balaa. Uchumi huu umepandisha ego ya wanawake wa kawaida kabisa, umeshusha thamani hustle zinazoheshimika, umeondoa uaminifu katika mahusiano, na umewafanya wanawake masikini waamini wao sio masikini isipokua wapo katika mahusiano na mwanaume asiekua na hela.

Ndio maana katika kizazi tulichopo mwanamke asiekua na hela hajioni kama yeye ni masikini, badala yake anawaona wanaume ndio masikini. Hii ni kwa sababu masimp wamemfundisha hatakiwi kufanya kazi kuweza kumudu mahitaji yake, anachotakiwa kukifanya ni kupendeza tu na kupost edited videos zake za kubinua matako instagram na tiktok, then mabwege watamfuata DM.

Men, stop funding the illusion. Let that broke woman fix herself or stay that way, it not your problem. Any woman who build nothing but wants everything she is a parasite, and any man who funds her he is a part of the problem.

Remember, in the end all your time, sacrifices and efforts will be rewarded with one questions, "did i ever force you to do all that for me?"

Don't be a simp
Huu uzi naenda kuuprint, nauwekea lamination, nautengeneza kama zile picha mbao. Nauweka ukutan hapa ghetto. 🔥🔥
 
Halafu mwanamke uyo ukishafika 30's sasa ashakua single mother, ana kitambi, matiti yameshuka kama kandambili, hapati tena attention ya wanaume, atajifanya wife material na wapo mashujaa kama Vishu Mtata watampokea kwa mikono miwili kwa kigezo kwamba amepevuka kiakili
Wasamehe mkuu...🙌🏿🙌🏿
 
Uchumi bwege ni aina ya uchumi ambayo imeshika hatamu kwenye dating pool katika kizazi tulichopo. Uchumi huu umewapumbaza wanawake na kufikiri hawawajibiki na bill zao.

Uwanja wa mahusiano umepinduka na mzizi wa tatizo ni "uchumi bwege". Uchumi huu umewafanya wanaume mabwege wawe waangaikaji ku-fullfill ego za wanawake ambao hawaongezi thamani yoyote katika maisha ya wanaume hao.

Leo hii mwanamke haitajiki kufanya kazi kwa bidii au kuanzisha miradi ya kibiashara ili aweze kuishi lifestyle anayoitaka, anachotakiwa kukifanya ni kuzigawa tu bill kwenye network yake ya mabwege.

Mwanamke anataka iphone pro max?, rahisi kabisa. Anachagua mabwege 30 kwenye contact list yake anawapiga mzinga wa 50K kila mmoja. Mabwege wanafikiria wanasaidia tu huku wakiwa na matarajio ya kupata attention ya uyo mwanamke au kupewa mbususu.

Mwisho wa siku ndio hivyo mwanamke anatumia ujinga wa hawa mabwege ku-upgrade lifestyle yake bila kuinua hata mkono mmoja kufanya kazi.

Uchumi bwege umeleta balaa. Uchumi huu umepandisha ego ya wanawake wa kawaida kabisa, umeshusha thamani hustle zinazoheshimika, umeondoa uaminifu katika mahusiano, na umewafanya wanawake masikini waamini wao sio masikini isipokua wapo katika mahusiano na mwanaume asiekua na hela.

Ndio maana katika kizazi tulichopo mwanamke asiekua na hela hajioni kama yeye ni masikini, badala yake anawaona wanaume ndio masikini. Hii ni kwa sababu masimp wamemfundisha hatakiwi kufanya kazi kuweza kumudu mahitaji yake, anachotakiwa kukifanya ni kupendeza tu na kupost edited videos zake za kubinua matako instagram na tiktok, then mabwege watamfuata DM.

Men, stop funding the illusion. Let that broke woman fix herself or stay that way, it not your problem. Any woman who build nothing but wants everything she is a parasite, and any man who funds her he is a part of the problem.

Remember, in the end all your time, sacrifices and efforts will be rewarded with one questions, "did i ever force you to do all that for me?"

Don't be a simp
King keep preaching let the gospel go viral!!!
 
Halafu mwanamke uyo ukishafika 30's sasa ashakua single mother, ana kitambi, matiti yameshuka kama kandambili, hapati tena attention ya wanaume, atajifanya wife material na wapo mashujaa kama Vishu Mtata watampokea kwa mikono miwili kwa kigezo kwamba amepevuka kiakili
😂😂😂😂 Mkuu mimi sipo huko kwa wanufaishaji wa wanawake, ni mchangamsha genge tu.

Waacheni wanawake above 30 waje kwangu.
 
Mwanamke ata asikupe tabu,, wala hawachukuagi mda ana doda anatakiwa ale kwa jasho lake wala hamna MTU anamwomba namba
 
Halafu mwanamke uyo ukishafika 30's sasa ashakua single mother, ana kitambi, matiti yameshuka kama kandambili, hapati tena attention ya wanaume, atajifanya wife material na wapo mashujaa kama Vishu Mtata watampokea kwa mikono miwili kwa kigezo kwamba amepevuka kiakili
But why Vishu mtata?
Ujue jamaa huwa ananifanya nicheke kwa vitu viwili.
Kwanza DP yake kaweka ndonga inayoshabihiana na pumba ambazo huwa anachangia kwenye threads zetu..
Pili jamaa ana kale kachuki binafsi dhidi ya ukweli wowote utakaoongelewa jukwaani.

Mtu mwingine nimemsahau but huwa nawaza ni mtu mmoja mwenye multiple ID.
 
King keep preaching let the gospel go viral!!!
Comrade tutaendelea kueneza injili ya out the Matrix mpaka ienee ulimwenguni kote.
Na huko majuu tuna wadau wengi kama akina Akon, 50 Cent, Lil Wayne, Hakimization and so on
Hapa bongo tunao Diamond Platnumz, Dully Sykes na wana kibao wa JF humu.
 
Back
Top Bottom