Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 12,139
- 33,552
Uchumi bwege ni aina ya uchumi ambayo imeshika hatamu kwenye dating pool katika kizazi tulichopo. Uchumi huu umewapumbaza wanawake na kufikiri hawawajibiki na bill zao.
Uwanja wa mahusiano umepinduka na mzizi wa tatizo ni "uchumi bwege". Uchumi huu umewafanya wanaume mabwege wawe waangaikaji ku-fullfill ego za wanawake ambao hawaongezi thamani yoyote katika maisha ya wanaume hao.
Leo hii mwanamke haitajiki kufanya kazi kwa bidii au kuanzisha miradi ya kibiashara ili aweze kuishi lifestyle anayoitaka, anachotakiwa kukifanya ni kuzigawa tu bill kwenye network yake ya mabwege.
Mwanamke anataka iphone pro max?, rahisi kabisa. Anachagua mabwege 30 kwenye contact list yake anawapiga mzinga wa 50K kila mmoja. Mabwege wanafikiria wanasaidia tu huku wakiwa na matarajio ya kupata attention ya uyo mwanamke au kupewa mbususu.
Mwisho wa siku ndio hivyo mwanamke anatumia ujinga wa hawa mabwege ku-upgrade lifestyle yake bila kuinua hata mkono mmoja kufanya kazi.
Uchumi bwege umeleta balaa. Uchumi huu umepandisha ego ya wanawake wa kawaida kabisa, umeshusha thamani hustle zinazoheshimika, umeondoa uaminifu katika mahusiano, na umewafanya wanawake masikini waamini wao sio masikini isipokua wapo katika mahusiano na mwanaume asiekua na hela.
Ndio maana katika kizazi tulichopo mwanamke asiekua na hela hajioni kama yeye ni masikini, badala yake anawaona wanaume ndio masikini. Hii ni kwa sababu masimp wamemfundisha hatakiwi kufanya kazi kuweza kumudu mahitaji yake, anachotakiwa kukifanya ni kupendeza tu na kupost edited videos zake za kubinua matako instagram na tiktok, then mabwege watamfuata DM.
Men, stop funding the illusion. Let that broke woman fix herself or stay that way, it not your problem. Any woman who build nothing but wants everything she is a parasite, and any man who funds her he is a part of the problem.
Remember, in the end all your time, sacrifices and efforts will be rewarded with one question, "did i ever force you to do all that for me?"
Don't be a simp
Uwanja wa mahusiano umepinduka na mzizi wa tatizo ni "uchumi bwege". Uchumi huu umewafanya wanaume mabwege wawe waangaikaji ku-fullfill ego za wanawake ambao hawaongezi thamani yoyote katika maisha ya wanaume hao.
Leo hii mwanamke haitajiki kufanya kazi kwa bidii au kuanzisha miradi ya kibiashara ili aweze kuishi lifestyle anayoitaka, anachotakiwa kukifanya ni kuzigawa tu bill kwenye network yake ya mabwege.
Mwanamke anataka iphone pro max?, rahisi kabisa. Anachagua mabwege 30 kwenye contact list yake anawapiga mzinga wa 50K kila mmoja. Mabwege wanafikiria wanasaidia tu huku wakiwa na matarajio ya kupata attention ya uyo mwanamke au kupewa mbususu.
Mwisho wa siku ndio hivyo mwanamke anatumia ujinga wa hawa mabwege ku-upgrade lifestyle yake bila kuinua hata mkono mmoja kufanya kazi.
Uchumi bwege umeleta balaa. Uchumi huu umepandisha ego ya wanawake wa kawaida kabisa, umeshusha thamani hustle zinazoheshimika, umeondoa uaminifu katika mahusiano, na umewafanya wanawake masikini waamini wao sio masikini isipokua wapo katika mahusiano na mwanaume asiekua na hela.
Ndio maana katika kizazi tulichopo mwanamke asiekua na hela hajioni kama yeye ni masikini, badala yake anawaona wanaume ndio masikini. Hii ni kwa sababu masimp wamemfundisha hatakiwi kufanya kazi kuweza kumudu mahitaji yake, anachotakiwa kukifanya ni kupendeza tu na kupost edited videos zake za kubinua matako instagram na tiktok, then mabwege watamfuata DM.
Men, stop funding the illusion. Let that broke woman fix herself or stay that way, it not your problem. Any woman who build nothing but wants everything she is a parasite, and any man who funds her he is a part of the problem.
Remember, in the end all your time, sacrifices and efforts will be rewarded with one question, "did i ever force you to do all that for me?"
Don't be a simp