Uchumba wangu umevunjwa

al
Sijaona msg ya kuvunja uchumba hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa mesej za kawaida sanaaaa alf huyo manzi akaondoka muda huo huo alijiandaa kbs
 
That's my baby, dada wa watu wameshaanza kumhukumu vibaya hiyo ni reaction ya kawaida kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah huyo ni manzi anaekujua na ameamua kukuharibia style makusudi tu. Tuliza kichwa taratibu utamgundua otherwise wataalamu watakuja na ngonjera za jini mahaba. Sasa sijui majini wanatumia smartphone sikuhizi!
Alichoharib kwanza amepanick. Huyu mwanamke anamjua na ameamua kumchezea rafu.
Atulize kichwa amtafute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mlitegemea ndo amkumbatie vizuri after kuona hiyo text; asipanick arelax tu? Jamani kila mtu ana njia yake ya kureact, mimi ningekuwa huyo binti ningefanya tu hivyo hivyo, tungeongea siku nyingine after hasira zangu kuisha.

Let's not judge her, yeye akamtafute physically waongee, akigoma kuelewa ndo tutajuaga sasa. Lakini hapa tutahukumu tu bure, hapa ingekuwa text ndo imeingia kwa mdada ehehehee na makofi angeshakula na simu kuvunjwa kabla hata ya utetezi
Alichoharib kwanza amepanick. Huyu mwanamke anamjua na ameamua kumchezea rafu.
Atulize kichwa amtafute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's my baby, dada wa watu wameshaanza kumhukumu vibaya hiyo ni reaction ya kawaida kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui labda wenzetu wamezoea sana cheating to the extent hata message kama hiyo ikiingia ndo, unamkumbatia kabisa papa mupenzi; hustuki mweeeeh

Au mimi na wewe tumezidi sana ukorofi, tuna-overreact teh
 
Umechezewa mchezo mkuu, haihitaji PhD kujua hili. Sms tu ya mahaba tena ilokosewa mchumba akuache!
 
ANZA KUMLAUMU MANZI WAKO KUWA YEYE NDO AME FANYA YOTE HAYOO KISHA MUWEKE NGUVU YA KUMTAFUTA WOTE NAHISI ITASAIDIA.
 
Kama yametokea usiku wa leo mkuu tulia tu yatakwisha,uchumba hauwezi kuvunjika kirahisi namna hiyo labda kama alikuwa anakutafutia sababu.
 
Mwanamke anayekupenda ni ngumu sana kukuacha kwa kosa moja. Mimi nilifumwa na love bite shingoni. Nkamuambia kuwa ilr sio love bite nliangukiwa na mbao nikiwa site.. Alikua mbishi kuelewa lakini akakubali na nikala mzgo mda huo huo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…