Uchumba wa kweli kuelekea kuoana unaanzia wapi?

Uchumba wa kweli kuelekea kuoana unaanzia wapi?

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,628
Reaction score
2,290
Nauliza swali hili ili nielimishwe.Uchumba unaanzia pale Msichana anapomtambulisha Mchumba wake kwa Wazazi au Mwanaume anapomvisha Msichana pete ya uchumba au vyote kwa pamoja?Mchumba mwenye nia nzuri utamjuaje kwani mwingine anaweza kumvisha pete Msichana na bado asimuoe.Wandugu mnielimishae.
 
Kwa kweli hili niswala gumu sana kujua mtu anafikira nini na anwaza nini juu yako., anaweza akajitambulisha akakuvisha pete lakini baada ya muda akakuacha,
inategemea na mtu mwenyewe na mazingira mliyokutania na tabia ya mtu, uchumba ndo unaweza kudumu hadi ndoa. ikumbukwe mwanume anaweza akapretend mpaka mwenyewe ukakoma.
 
joyceline umeongea ukweli mtupu kabisa kwa sababu kuvishwa pete na hata mpaka kufikia kanisani kwa mathalani wakristo kutangazwa hakusaidii kama jamaa ni msanii tu unaachwa kwenye mataa.but still swali la mjamaa wa kwanza hapo juu halijapatiwa jibu labdana mm niongezee kidogo uchumba unaanza kuwa rasmi kipindi gani?unapovisha pete au unapopelekwa wa wazazi kutambulishwa?
ni hayo tu!
 
Tuelimishane juu ya hili kwani Dada zetu wamekuwa wakidanganywa na Wanaume viwembe kwa kudanganya uchumba.Hii ni chanzo mojawapo ya Watoto wa mazingira magumu nchini.Nachelea kuwaita Watoto wa mitaani kwa kuwa mtaa hauzai Watoto.
 
Tuelimishane juu ya hili kwani Dada zetu wamekuwa wakidanganywa na Wanaume viwembe kwa kudanganya uchumba.Hii ni chanzo mojawapo ya Watoto wa mazingira magumu nchini.Nachelea kuwaita Watoto wa mitaani kwa kuwa mtaa hauzai Watoto.


hapo ndio ugumu unajitokeza sasa, huwezi jua analowaza mwenzio bwana,watu wana pretend balaa, ndio mana mie nilivyovalishwa tu nilimpa mwezi 1 apige hatua mbele kwenye kufikia malengo, na nilimwambia mwezi ukipita naivulia mbali, niliogopa kuingizwa mjini,sasa unakuta mtu ni wachumba wa miaka 7 huko, mpo mpo tu hakuna kinachoeleweka zaidi ya kudai nina mchumba mchumba na matokeo yake ni kutendana.
 
joyceline umeongea ukweli mtupu kabisa kwa sababu kuvishwa pete na hata mpaka kufikia kanisani kwa mathalani wakristo kutangazwa hakusaidii kama jamaa ni msanii tu unaachwa kwenye mataa.but still swali la mjamaa wa kwanza hapo juu halijapatiwa jibu labdana mm niongezee kidogo uchumba unaanza kuwa rasmi kipindi gani?unapovisha pete au unapopelekwa wa wazazi kutambulishwa?
ni hayo tu!



nadhani yote yawezekana! unaweza valishwa pete na uchumba ukaanzia hapo, mkienda kwa wazazi ni suala la mahari na mambo mengineyo.....na mnaweza kuanzia kwa kujitambulisha kwa wazazi pia.
 
MJ1, Chaku, WoS na Agika mbona mmeadimika hivyo?
 
Nauliza swali hili ili nielimishwe.Uchumba unaanzia pale Msichana anapomtambulisha Mchumba wake kwa Wazazi au Mwanaume anapomvisha Msichana pete ya uchumba au vyote kwa pamoja?Mchumba mwenye nia nzuri utamjuaje kwani mwingine anaweza kumvisha pete Msichana na bado asimuoe.Wandugu mnielimishae.
umeshaolewa?
 
Mie nadhani, ni unapotamkiwa ombi na kukubali, wazazi wakakubali, na Imani yako ikakubali, kisha ukivishwa pete hapo ndo unaitwa mchumba, sijui lakini kwa imani yangu ndo hivyo.
Inawezekana kukiukwa kwa moja ya vigezo hivyo kama kwa watu wa imani tofauti, watu ambao wazazi wamekataa mwenza etc, lakini kwa wale wanaofuata kwamba procedure zote zimekubaliwa ni nyie wawili, then wazazi, then wakuu wako wa imani, kisha pete inashika huo uchumba. Kawaida maximum ni miaka 2.
 
binafsi mi nadhani, uchumba huanza pale wote kwa pamoja wanapokusudia kuanzisha familia moja na yenye kumcha mungu. unajua wadada wengi ndio mwanzo wa matatizo, kwani wakidanganywa kidogo tu wanaridhia kuwavulia wakaka nguo zao za ndani. iwe anasema ukweli ama kukudanganya cha msingi never kama mtoto wa kike kumvulia mkaka nguo yako ya ndani kwani walio wengi ni matapeli wa mapenzi. watakudo then hao wanaenda kutafuta wengine warahisi kama walivyofanya kwako na kuendeleza anasa zisizo na msingi. uchumba huanza pale urafiki wa kweli unapojityokeza baina ya wawili wanaopenda tena upendo hyuwa ufanane na ule wa kaka na dada, itakuwa ngumu kiasi kwa mtu kumhat mwenzake ikiwa wote awali urafiki wao ulikuwa kama dada na kaka.
zaid ya yote m,i nashauri, nyie dada zetu hebu jaribuni kuwq wagumu, msitoe mapenzi kama kigezo cha kuonyesha mapenzi kwa huyo tapeli wako wa mapenzi.
jitunzeni muone kama wakina sisi hatutaacha kuwauzia yale mashamba yetu ya urithi.
unajua mwanamke anayejitunza ana thamani sana mbele ya macho ya mwanmume hata kama ni player kiasi gani ukweli unabaki pale pale kuwa ukiwa msafi wewe mdada ujue market yako inakuwa kumbwa sana na hata huyo atakaye kuadaha kukuoa basi ujue akijua una msimamoa na maisha yako utamuona huyooo anasepa zake kutafuta vicheche na akijikakamua na kukuoa basi kuna uwezekano wqa yeye kukuheshimu na kukupenda kwa dhati.
 
MJ1, Chaku, WoS na Agika mbona mmeadimika hivyo?

Ah dada tupo mbona? mambo tu mengi mpenzi.

Mimi nafikiri uchumba wa kweli nadhani unaanzia pale tunapopelekana kwa wazazi jamani ingekuwa pale kwenye pete mbona wengi tungekuwa tumeshaolewa zamani sans na watu wasio. maana kama kuvishwa pete kunahalalisha uchumba then kusingekuwa na kutelekezana baada ya kuvishana hayo madubwashana vidoleni.
 
Ah dada tupo mbona? mambo tu mengi mpenzi.

Mimi nafikiri uchumba wa kweli nadhani unaanzia pale tunapopelekana kwa wazazi
jamani ingekuwa pale kwenye pete mbona wengi tungekuwa tumeshaolewa zamani sans na watu wasio. maana kama kuvishwa pete kunahalalisha uchumba then kusingekuwa na kutelekezana baada ya kuvishana hayo madubwashana vidoleni.


nashukuru mami, nilikumic sana!....wapo kibao wamepelekwa kwa wazazi na bado wakatelekezwa.
 
nashukuru mami, nilikumic sana!....wapo kibao wamepelekwa kwa wazazi na bado wakatelekezwa. [/QUOTE]

........... Duh dada hii ya hivi sikujua kama huwezekana yaani hata hawaogopi watu hawa? sasa basi kama ni hivyo hakuna maana ya uchumba na hayo mapete tunavishana mizigo tu kwa kuwa hayathaminiki kabisa siku hizi. Hata hivyo si zinauzwa madukani? hata thamani yake inashuka maana wapo wanaojivalia tu (hata za ndoa) na hawajaolewa wala kuchumbiwa ilimradi nao waonekane wamo kundini!!......

Mimi niligoma kuvikwa pete (nikashutumiwa kuwa nakataa kwa vile bado nafanya window shopping-siko commited!!)........ kwangu mimi siamini katika pete kabisa
 
........... Duh dada hii ya hivi sikujua kama huwezekana yaani hata hawaogopi watu hawa?

Waogope nini MJ1?
Kama unabana kumegwa unataka nijitambulishe kwenu ndo dawa hiyo nakuja nakuvisha pete kwenu na ninatoa kishika uchumba kama 50,000 hivi naanza kumega hapo si ndo utakuwa na imani na mimi. Namega kiulaini kama namsukuma mlevi vile.
 
Waogope nini MJ1?
Kama unabana kumegwa unataka nijitambulishe kwenu ndo dawa hiyo nakuja nakuvisha pete kwenu na ninatoa kishika uchumba kama 50,000 hivi naanza kumega hapo si ndo utakuwa na imani na mimi. Namega kiulaini kama namsukuma mlevi vile.

Kwani kumegwa inaruhusiwa baada ya kutolewa kishikauchumba au ndoa? Ina maana uchumba unahalalisha kufanya mapenzi kwa wachumba?
 
Ahaa luv nimeona amewamic nyie tu wkt mzee wa kazi nipo hapa naanda mihogo na viazi kwa ajili ya kupiga dili mwezi mtukufu.

...... oh ok pole. Kwani unaanza lini rasmi nikutafutie tender lol
 
Kwani kumegwa inaruhusiwa baada ya kutolewa kishikauchumba au ndoa? Ina maana uchumba unahalalisha kufanya mapenzi kwa wachumba?

Hahahaha yeah yaani mi nikija kujitambulisha kwenu wewe unawekewa limit ooh sio sasa ndo unajiachia wazazi watakukanya na mimi wataniambia kuwa wewe bado upo katika himaya yao. Sasa hapo mimi ndo nakuwa free kupata mwanya wa kumega si ulisema mpaka nije kwa wazazi nijitambulishe sasa nimekuja. Maswala ya ndoa baadae mama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom