Uchumba sio ndoa muda wowote unavunjika hivyo ishi na mchumba wako kwa akili

Kwenye ndoa,
Ruksa kujitoa kwa hali na Mali maana hata akizingua mtagawana.

Angalau utafidia nusu hasara.

Ila sio kwenye uchumba.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapo kwenye kugawana pia ndio naona kizungumkuti pia, yaani ninavyopambana hivi ni ili aje mtu tugawane aisee , ndio maana nafikiria mungu akijalia nimalize kibanda changu kwanza ndio nioe aisee, ili nitakae muoa akija kuzingua aondoke kama alivyokuja , labda tugawane vutu tulivyochuma pamoja tu
 
Back
Top Bottom