Uchoyo

breem

Senior Member
Joined
Feb 7, 2010
Posts
110
Reaction score
38
Uchoyo ukifikia hapa bora kifo,

Mama mmoja alikuwa anapakua chakula ghafla akackia hodi,
akaficha chakula chini ya kochi,

Mmgeni alipoingia akaona moshi unatoka chini ya kochi.

Mgeni: Moshi wa nini huo?

Mama: Mwenzangu utaiweza mipanya ya humu kwa kuvuta bangii....!!
 
Mmgeni alitakiwa aulize tena hivi "Bangi inanukia kama pilau ya nyama ya kuku...!? "

Unadhani huyo Mmama angejibuje...?
 
Mmgeni alitakiwa aulize tena hivi "Bangi inanukia kama pilau ya nyama ya kuku...!? "

Unadhani huyo Mmama angejibuje...?
Angejibu, mwenzangu hata mim nishangaa ila bangi wanazovuta panya zinanukia pilau
 
Angejibu, mwenzangu hata mim nishangaa ila bangi wanazovuta panya zinanukia pilau

Duh...! Huyo mwenyeji kiboko...!! Kama ndiyo hivyo, basi Mngeni kama siyo mbishi alitakiwa kuzusha dharura ya kuitwa nymbani haraka, apishe watu wale pilau yao...!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…