Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
Wakuu,eti hii ina ukweli?mwanaume anakuwa mchovu naye anapenda kulala lala wakati mkewe mjamzito..eti wanasaidiana uchovu?hebu ambao mna wake ambaowashakuwa wajawazito fungukeni kuhusu hilo..kuna ukweli?
Ni kweli mkuu na hu ila si kwa kila mimba ,kwani kila mimba huja na staili tofauti.hii ya kulala na uchovu ilishanikumba.kuna wengine huumwa kabisa