Hiyo habari imenisikitisha sana, wanahonga mabilion shule yenye watoto 200 inamwalimu mmoja tu, alafu wanatuambia watajenga viwanda stupid mnaharibu future za watoto wetu kwa ujinga wenu
Jamani jamani!Halafu bado kuna wajinga wanaoendelea kuishabikia CCM!
Binafsi nitafanya maamuzi sahihi kuwaokoa wadogo zangu hao kwenye hiyo adha.
Hiyo habari imenisikitisha sana, wanahonga mabilion shule yenye watoto 200 inamwalimu mmoja tu, alafu wanatuambia watajenga viwanda stupid mnaharibu future za watoto wetu kwa ujinga wenu
CCM wamechoka ile mbaya. Shule ya msingi Luhoza iliyopo Morogoro ina mwalimu mmoja tu. Kwa nini tuipigie kura kama hali ndio hii?
Yaani mijinga bado ipo na wimbo wa utaisoma namba. Namba gani wakati shule in mwalimu mmoja? tumeshaisoma kwamba hule ina mwalimu mmoja tu. Miaka 54 ya uhuru shule inakosa waalimu huku mabilionioo yakitumiwa kwa rushwa na ufisadi
Mbona husemi pia kuwa ina wanafunzi kumi tu?
CCM wamechoka ile mbaya. Shule ya msingi Luhoza iliyopo Morogoro ina mwalimu mmoja tu. Kwa nini tuipigie kura kama hali ndio hii?
Mbona husemi pia kuwa ina wanafunzi kumi tu?
Siyo wanafunzi kumi ni zaidi ya 200