Uchomaji wa kadi za CCM

Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
Mkuu Siku hizi unaonekana kabisa kuwa umekuwa puppet wa ccm.
CCM ni chama kipenzi cha watanzania ni nani wa kuchoma kadi?
 
Hawakawii kukamata na kufunga unachezea kyama dora!!!
 
.....
....umekula?
 
Kwa Upinzani huu wa akina Mbowe unaosubiri FISADI litakalokatwa CCM wapige dili? Sahau mkuu - CCM tunayo tupende tusipende na Magufuli atabaki kuwa the Best Alternative hata kama ana mapungufu.
 
Kwa Upinzani huu wa akina Mbowe unaosubiri FISADI litakalokatwa CCM wapige dili? Sahau mkuu - CCM tunayo tupende tusipende na Magufuli atabaki kuwa the Best Alternative hata kama ana mapungufu.
Kwani ccm bado ipo mkuu,mbona iko kimya sana.
 
Zinachomwa kimya kmya. Si walikuwa wamesha anza kutunga sheria juu ya uchomaji wa kadi zao
 
You need to take a lesson on logic, bro. Mimi mwenywe nina kitambi na nimetoka kushindilia mlo mwingine wa ukweli lakini najua mtaani na kijijini kwangu wapo wengi tu wenye njaa.
Sasa kwa nini umeshindilia chote na hujaenda kuwagaia wenzio wenye njaa?
 
Mkuu Siku hizi unaonekana kabisa kuwa umekuwa puppet wa ccm.
CCM ni chama kipenzi cha watanzania ni nani wa kuchoma kadi?
Sina chama mimi.

Au hujawahi kuona nikiwaponda CCM humu?
 
Mnawaza mambo ambayo mnayaona hayana maana kumbe yanawauma
 
Zitaisha kama zile kelele za rambi rambi huko kwa akina Katerero
 
Umesukia askofu wa jumbo catholic mwanza? Anataka tuwaombee wasiojua kuna njaa wajue IPO. Habari za kadi hata mie siwezi kuchoma mana ni Mali yangu
 
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
imeyeyuka kama operation ukuta na kata funua...
 
wewe huwa sikuelewagi mara hivi mara vile
 
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko
Kwa haya yanayoendelea.ipo siku mtakuja kutafuta kadi za ccm.mtapata mbili tu.yako na ya magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…