Hayajafika 200Nawakumbusha Kuna makabila 200.
around 115Mkuu yako mangapi???
Hahaha unataka nipimwe mkojo mkuu.Malizia mkuu
Hatari mzee kuwa makini njiani ukitembeaNi wasukuma ngoja nisaidie kujibu.
Malizia tu
Hatuko hivyomayb angekuwa mzinza
Hahahah sio powa kabsa.Kila mtu anakuogopa kwa mkemia mkuu
Mmhh..., mi mbona simuogopi!? Tena napanga nikamuone ili nikapime ili nijue kama hawa watoto ni wangu?Kila mtu anakuogopa kwa mkemia mkuu
hao noma!Mkuu kwenda mwenyewe si tatizo, tatizo ni kupelekwa na wale wasiojulikana
Sure sureAhahahahaaa siku hizi hata ukitaka kupokea sim ,unageuka pande zote kwanza kuangalia uslama ndio unapokea