Chukua mfano huu "usio hai"
Nina safisha mafuta lita 500,000 kwa siku.
BP,Shell,Engen,Oilcom,etc wanaweza kuuza lita 300,000 kwa siku.
Hizo lita 200,000 zina pelekwa wapi?
Kumbuka hizo marketing companies hawana uwezo wa kutunza mafuta mengi
kwa wakati mmoja.
Land Locked countries zinazoizunguka Tanzania hizo lita laki 2 haziwatoshi kabisa.... jibu liko wazi. Hata Burundi tu inayamaliza
Ha ha,hizo NGO ni njia nyingine ya wizi tu.
Hakuna NGO inayo fanya kazi kwa makusudi iliyo anzishiwa,
waki jitahidi ni 10% watafanya ila 90% ni matumbo yao tu.
Naogopa sana kuwa tapeli.
Kwa kifupi hatujawahi kuwa na kiongozi Mzalendo.
..Inasemekana kwamba Mafuta yamegundulika ndani ya Tanzania.
Mungu sasa inatosha, ILAANI kidogo Tanzania.
Kwanini kutupa mafuta ilihali tu MAJUHA?
Ulikuwa hujazaliwa. Alikuwepo JK wa ukweli aka Mwalimu Nyerere.
Nyie ndo huamini kuwa maneno yasosemwa na authority ni uongo ni ya kijiweni, Ni ujinga tu kuambiwa kuwa nduguyo kafa kwa ajali unasubiri taarifa ya RPC ya kuthibitsha ajali na vifo ndo uamini, wala usijione kwa kutisha watu na technical terms kila mtu ana fani yake humu, kuwa zitazuia watu kuujua ukweli nenda Mtwara useme ujinga huo eti mafuta hayajagundulika offshore kama hata wakulima hawatakuona juha gani msomi asiyejua yliyo wazi namna hiyo?! Kama hujui fanya utafiti. Msomi kama wewe unasubiri waziri athibitishe ndiyo ukubali kuwa mafuta yapo! Ama kweli wasomi wetu hawa heri ya Mangungo wa Msovero. Au hujaona kampuni za ujenzi barabara za kigeni zikigundua madini kwenye kuchimba kokoto huchelewesha ujenzi zikigida madini ya majuha yasojua na kushangaashangaa TVD na MD yalipo madini kama weweUsidanganye watu. Nijibu yafuatayo na usiwe mshabiki:
1. Yamegundulika block gani
2. Operator gani ameyagundua?
3. TVD(total vertical depth) na MD(measured depth) ni ngapi?
4. Nipe size ya reservoir
Msiwe washabiki maandazi....
Process za exploration/drilling na discovery kwa bahati gas au mafuta yakiwepo tena offshore sio kama kukuna ngozi yako.....
Ni process nzito zinazohitaji resources kibao.
Acheni maneno ya vijiweni
Hizo lita 200,000 zina pelekwa wapi?
Hata kampuni ya refining yenyewe haina uwezo wa kuhifadhi surplus ya mafuta yanaoongeza kwa lita 200,000 kwa siku, yataenda yakiongezeka infinitely mwishowe yata over flow na kupita chini ya milango kuingia maofisini mwa kiwanda hatimae watu watazama kwenye refined mafuta! Do you understand me? There is no such thing as "wanasafisha mafuta halafu wanahifadhi kidogo" ili kusubiri ya kwenye vituo yauzwe... doesn't make a shred of sense!Kumbuka hizo marketing companies hawana uwezo wa kutunza mafuta mengi kwa wakati mmoja.
tanzania kweli ni taifa la majuha tumebarikiwa rasilimali nyingi sana lakini ujuha wetu ndo unatufanya tunaendelea kuwa maskini,kwa mfano swala la madini kila siku najiuliza ni kwanini wasipeleke watu nje ya nchi kujifunza mambo ya madini na baada ya miaka kadhaa tukaweza kuendesha wenyewe migodi yetu,ukienda kwenye makampuni ya madini mbalimbali utakuta wanaleta watu wa kada zingine kama vile watu wa mazingira,ugavi,uhasibu wakati kuna watanzania ambao wanaweza kufanya kazi hizo kweli taifa letu hili ni ujuha tu kuanzia kwa wananchi mmojamoja hadi kwa viongozi wetu,kwanini nasema hivi kwa sababu sisi kama wananchi wa kawaida kabisa tunaweza kufanya mahamuzi ambayo baadaye yatabaki kuwa historia kwa vizazi vijavyo tuondokane na UJUHAAAAAAAAAAAA
Kwanza ni vizuri uelewe kuwa mafuta (crude oil) hajagunduliwa Tanzania mpaka sasa. kilichogunduliwani gesi asili. Pili, si kweli kwamba kuwepo kwa TIPER kulikuwa na faida kiuchumi. Kiwanda hicho kilikuwa kinaendeshwa kwa hasara kutokana na teknolojia yake kuwa duni, kiwanda uwezo wake ulikuwa mdogo mno kuweza hata kukidhi mahitaji ya nchi (It lacked economics of scale) na ukilinganisha na kuagiza mafuta yaliyosafishwa kutoka nje gharama zilikuwa nafuu zaidi kuagiza kuliko kusafisha mafuta ghafi katika kiwanda cha kiwanda cha TIPER. kwa mtazamo huo utaona kuwa ilikuwa ni busara kukifunga kiwanda hicho kuliko kutumia kodi za watanzania kufidia hasara. Natumai maelezo haya yamekuweka sawa.
Tigga mumba na speaker! Suala la mafuta siku zoote ni nyeti saana, rais wa nchi husika ndio anakuwa na mandate kutangaza
Usidanganye watu. Nijibu yafuatayo na usiwe mshabiki:
1. Yamegundulika block gani
2. Operator gani ameyagundua?
3. TVD(total vertical depth) na MD(measured depth) ni ngapi?
4. Nipe size ya reservoir
Msiwe washabiki maandazi....
Process za exploration/drilling na discovery kwa bahati gas au mafuta yakiwepo tena offshore sio kama kukuna ngozi yako.....
Ni process nzito zinazohitaji resources kibao.
Acheni maneno ya vijiweni