Uchawi wa kula nyama za watu

Uchawi wa kula nyama za watu

Hakuna uchawi wewe.

Kama upo na kama unamjua mchawi yeyote yule, mwambie aniroge.

Mwenzio gfsonwin alijaribu akachemsha akaishia kula kona.

Na hii ofa ni kwa wachawi wote waliopo JF.

Nirogeni mnithibitishie kuwa kweli uchawi upo na si longolongo tu.
wee ngabu wee
sikula kona il ya nini kumkosea muumba wangu?
kama huamini ngoja utayaona
 
Siwezi endelea kubiashana na wewe, yaelekea hapo bado umejifunika shuka uliyonunuliwa na wazazi ndio maana una jeuri ya kuongea. Waliopitia shuruba na wenye akili timamu hili si suala la kubiashana
Naamini wewe u mtoto sababu kama unasema hakuna uchawi basi hakuna shetani na kama hakuna shetani basi hakuna Mungu..kua uyaone wewe bado mtoto wa Mama
Usipoteze muda kubishana na shoga la North Carolina limetatuliwa marinda hadi akili imekufa.
 
Imani za kishirikina ni imani za watu wenye akili ndogo sana.

uchawi%201.jpg
Uchawi 3.jpg
 
kweli elimu ni ufunguo wa maisha. imani zimeidumaza sana africa!!
 
Nenda zako huko mnafiki mkubwa wewe, Tena wewe unaonekana ni gagula hatari Sana, unajifanya hujui kitu kumbe ni pepo baya kabisa wewe you're a

Teh teh teh...pole zako weee.

Naona umetoa mapovu kwenye kila tundu ulonalo mwilini.
 
Ukitaka wabamba watanganyika waambie story za uchawi, ulozi na ushirikiana. Naona story za uchawi zimejaa humu lately

HAKUNA uchawi. Watu wanaoamini uchawi Ni delusional na wenye uwezo Mdogo wa kufikiri
 
Ukitaka wabamba watanganyika waambie story za uchawi, ulozi na ushirikiana. Naona story za uchawi zimejaa humu lately

HAKUNA uchawi. Watu wanaoamini uchawi Ni delusional na wenye uwezo Mdogo wa kufikiri
According to your faith but witchcraft do exist, believe what you believe and I believe what I know
 
Kuna watu wana Jeuri hum Jf ngoja nikae pemben nione movie inavyoendelea
 
Back
Top Bottom