Uchawi upo! Narudia uchawi upo!

Hivi hili linawezekanaje???

Yaani


Kibinti kidogo chenye miaka 22 kimechukua Grammy ila Alikiba ana miaka

40+ hana Grammy hata moja huu si Uchawi..!!
Diamond na harmonize kwani waliwahi kuchukua hiyo tuzoπŸ˜πŸ˜‚
 
Hakuna uchawi.

Ni majuha tu wenye kuamini huo uongo!
Kwahiyo we ngosha unabisha kuwa hakuna michongo kupaa kwa ungo na ulozi hufanyika huko Gamboshi, au kwakuwa umekaa US kwa muda umejisahaulisha hii mambo ambayo ni common huko udukumani?

Vitabu vyote vya dini vinatambua uwepo wa uchawi we ni nani ukatae hakuna uchawi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…