Jean chill
Member
- Apr 8, 2011
- 69
- 20
Amini usiamini, Nyani mmoja aliye kuwa akikwea ukuta wa mtu flani hapa kinondoni, kageuka kuwa mtu aliyejulikana kwa jina la Mzee Macho mkazi wa kwa makoma kinondoni. Kwa sasa yupo kituo kidogo cha police kinondoni.