mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,761
Ametumia lugha ngumu sana kiasi kwamba inaumiza kichwa sana hadi umuelewe.Umeandika vizuri isipokuwa umekaa ki udini udini zaidi huna falsafa
Ametumia lugha ngumu sana kiasi kwamba inaumiza kichwa sana hadi umuelewe.Umeandika vizuri isipokuwa umekaa ki udini udini zaidi huna falsafa
Maneno meeeeeeeengi....Swali langu ni ....
Je., Ni mungu Wa dini ipi yupo responsible kwenye kuumba binaadamu??
Kwahiyo mungu wa wakristo ndio kaumba mwanadamu?
Na miungu wengine ni feki sio?People are christian-centric....
Kuna dini za mungu mmoja na kuna dini za miungu wengi,kuna madhehebu zaidi ya 30,000 ya kikristo,bado millions of other religions na kila dini ina amini mungu wake ni sahihi wa wengine ni hovyo....ya nini tuamini mmoja na kumkubali mwingine?Kuna uwezekano mmoja akawa wa kweli na wengine wakawa feki?Wa kweli ni yupi?Hatutakaa tujue,kwavile umelelewa kwa mfumo wa abrahmic religion point of view utasema ni ukristo au uislam,kumbuka china,india,japan,russia,etc hawatambui huu ujinga wa abrahmic religilions,na it is not their fault...dini zote ni za kufuta period!
Umepata pacha wako katika masuala hayaHapa raha mustarehe naweza kusahau hata msosi