Uchawi na muujiza ni mapacha

Word's
Kwahiyo mungu wa wakristo ndio kaumba mwanadamu?

Na miungu wengine ni feki sio?People are christian-centric....

Kuna dini za mungu mmoja na kuna dini za miungu wengi,kuna madhehebu zaidi ya 30,000 ya kikristo,bado millions of other religions na kila dini ina amini mungu wake ni sahihi wa wengine ni hovyo....ya nini tuamini mmoja na kumkubali mwingine?Kuna uwezekano mmoja akawa wa kweli na wengine wakawa feki?Wa kweli ni yupi?Hatutakaa tujue,kwavile umelelewa kwa mfumo wa abrahmic religion point of view utasema ni ukristo au uislam,kumbuka china,india,japan,russia,etc hawatambui huu ujinga wa abrahmic religilions,na it is not their fault...dini zote ni za kufuta period!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom