Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 5,292
- 6,783
Uchawa unazidi kwenye nchi
Hii
Unaonaje huko mbeleni na hii hali?
Hii
Unaonaje huko mbeleni na hii hali?
Hali mbaya,Uchawa unazidi kwenye nchi
Hii
Unaonaje huko mbeleni na hii hali?
Uchawa unazidi kwenye nchi
Hii
Unaonaje huko mbeleni na hii hali?
No REFORMS No ELECTIONUchawa unazidi kwenye nchi
Hii
Unaonaje huko mbeleni na hii hali?
Tafuta pesa hao wajinga utawaona ni vinyago tu 😅
AiseeTunakwenda kujenga matabaka mawili tofauti yaani WALIONACHO NA WASIOKUWA NACHO
Tutakuwa na kizazi cha ovyo sana hasa upande wa wanaume, hata ushoga utaongezeka sababu mwanaume hatakuwa hali kwa jasho tena, mwanaume akiwa chawa automatic ule unaume unaondoka
Kitakuwa na Vyuo kabisa na sifa pia level za uchawa kulingana na Elimu ya chawa.
Nchi itaendelea sana ikiwa itaweleza eneo hili kwa upana wake. Ajira zitaongezeka. Fikiria kila mwenye nafasi iwe kwa cheo au uchumi akiwa na chawa walau kila mkoa.
Vizaz vitaathiriwaKitakuwa na Vyuo kabisa na sifa pia level za uchawa kulingana na Elimu ya chawa.
Nchi itaendelea sana ikiwa itaweleza eneo hili kwa upana wake. Ajira zitaongezeka. Fikiria kila mwenye nafasi iwe kwa cheo au uchumi akiwa na chawa walau kila mkoa.
Hapana itakuwa ni aina mpya ya kujipatia kipato. Unajua viwanda kuanzisha no gharama sana hali kadhalika kilimo hivyo hii fursa ya uchawa itakuwa yenye kuingiza kipatoVizaz vitaathiriwa
Hapana itakuwa ni aina mpya ya kujipatia kipato. Unajua viwanda kuanzisha no gharama sana hali kadhalika kilimo hivyo hii fursa ya uchawa itakuwa yenye kuingiza kipato
Reforms zikifanyika,chawa watakufa Njaa hasa Lukas Mwashambwa!Uchawa unazidi kwenye nchi
Hii
Unaonaje huko mbeleni na hii hali?
Dawa ni no reform no election.Uchawa unazidi kwenye nchi
Hii
Unaonaje huko mbeleni na hii hali?