Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 36,351
- 23,758
Ndugu zangu Watanzania,
Mambo yanazidi kunoga, mambo yanaendelea kuwa matamu, mambo yanaendelea kuwa motomoto. Rais Samia anaendelea kuteka mioyo ya watu, Rais Samia anaendelea kuchanja Mbuga mioyoni mwa watu, Rais Samia anaendelea kuteka na kukonga mioyo ya watu, Rais Samia anaendelea kujizoleaa umaarufu, Rais Samia anaendelea kuwa kiongozi mwenye ushawishi zaidi hapa Nchini.
Rais Samia anaendelea kuonyesha ya kuwa hana mbadala wake kwa sasa, Rais Samia anaendelea kuwa kipenzi cha watanzania wa makundi yote, Rais Samia anaendelea kuwa tumaini na daraja la matumaini la watu, Rais Samia anaendelea kupata kibali na uungwaji mkono kutoka makundi muhimu. Haijawahi kutokea, haijawahi kushuhudiwa, haijawahi kuonekana kiongozi akapendwa, kuungwa mkono, kuaminika na kuwa na ushawishi kwa makundi yote kama ilivyo kwa Rais Samia.
Kwa sasa kundi kubwa la wasomi na vijana wa vyuo vikuu wanamuunga mkono Rais Samia katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea hapa Nchini. Hii ni kwa sababu wasomi hawa wanatambua wazi na kwa ushahidi wa wazi kabisa kuwa ni Rais Samia pekee aliyeinua maisha ya watu na kupunguza Kiwango cha umaskini hapa Nchini.
Wanajua ni Rais Samia aliyeongeza bajeti ya wizara ya kilimo kufikia Trilioni moja na point hali iliyochochea kuongezeka kwa uzalishaji na hivyo kuongeza kipato cha mkulima mmoja mmoja pamoja na kuondoa Umaskini. Wanajua ni Rais Samia aliyetoa na anayeendelea kutoa maelfu kwa maelfu ya ajira kwa vijana. Mfano ametoa ajira za walimu zaidi ya Elfu 89 ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.
Wasomi hawa wanajua ni kwa juhudi za Rais Samia amevutia wawekezaji na watalii kufikia millioni mbili kwa mwaka na hivyo kuongeza mapato pamoja na ajira kwa vijana. Wanajua ameongeza Kiwango cha upatikanaji wa umeme mpaka vitongojini huko na hivyo kuongeza na kufungua shughuli za kiuchumi,wanajua ameongeza mishahara kwa watumishi wa umma na hivyo kuongeza morali kwa watumishi wa umma jambo lililopelekea kuongezeka kwa ufanisi na utolewaji wa hudumu bora.
Wanajua ni Rais Samia aliye kamilisha Bwawa la mwalimu Nyerere,ujenzi wa SGR mpaka Dodoma,ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya 300,ujenzi wa shule za sekondari kwa msingi,utolewaji wa Elimu bure hadi kidato cha sita,kuongezeka kwa bajeti ya Mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu kufikia Bilioni 784, kuongezeka kwa bajeti ya afya kufikia Trilioni moja point tatu na mengine mengi sana.
Hii ndio sababu ya kuamua kumuunga mkono na kumsemea Rais wetu Mpendwa kwa nguvu zote ,na kuahidi kumpigia kampeni za nyumba kwa nyumba na mtaa kwa mtaa nchi nzima.
Na kwa hakika wasomi wote wanasema Oktoba ni mwendo wa kutiki kwa Rais Samia na wagombea wote wa CCM.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mambo yanazidi kunoga, mambo yanaendelea kuwa matamu, mambo yanaendelea kuwa motomoto. Rais Samia anaendelea kuteka mioyo ya watu, Rais Samia anaendelea kuchanja Mbuga mioyoni mwa watu, Rais Samia anaendelea kuteka na kukonga mioyo ya watu, Rais Samia anaendelea kujizoleaa umaarufu, Rais Samia anaendelea kuwa kiongozi mwenye ushawishi zaidi hapa Nchini.
Rais Samia anaendelea kuonyesha ya kuwa hana mbadala wake kwa sasa, Rais Samia anaendelea kuwa kipenzi cha watanzania wa makundi yote, Rais Samia anaendelea kuwa tumaini na daraja la matumaini la watu, Rais Samia anaendelea kupata kibali na uungwaji mkono kutoka makundi muhimu. Haijawahi kutokea, haijawahi kushuhudiwa, haijawahi kuonekana kiongozi akapendwa, kuungwa mkono, kuaminika na kuwa na ushawishi kwa makundi yote kama ilivyo kwa Rais Samia.
Kwa sasa kundi kubwa la wasomi na vijana wa vyuo vikuu wanamuunga mkono Rais Samia katika kiwango ambacho hakijawahi kutokea hapa Nchini. Hii ni kwa sababu wasomi hawa wanatambua wazi na kwa ushahidi wa wazi kabisa kuwa ni Rais Samia pekee aliyeinua maisha ya watu na kupunguza Kiwango cha umaskini hapa Nchini.
Wanajua ni Rais Samia aliyeongeza bajeti ya wizara ya kilimo kufikia Trilioni moja na point hali iliyochochea kuongezeka kwa uzalishaji na hivyo kuongeza kipato cha mkulima mmoja mmoja pamoja na kuondoa Umaskini. Wanajua ni Rais Samia aliyetoa na anayeendelea kutoa maelfu kwa maelfu ya ajira kwa vijana. Mfano ametoa ajira za walimu zaidi ya Elfu 89 ndani ya muda mfupi wa uongozi wake.
Wasomi hawa wanajua ni kwa juhudi za Rais Samia amevutia wawekezaji na watalii kufikia millioni mbili kwa mwaka na hivyo kuongeza mapato pamoja na ajira kwa vijana. Wanajua ameongeza Kiwango cha upatikanaji wa umeme mpaka vitongojini huko na hivyo kuongeza na kufungua shughuli za kiuchumi,wanajua ameongeza mishahara kwa watumishi wa umma na hivyo kuongeza morali kwa watumishi wa umma jambo lililopelekea kuongezeka kwa ufanisi na utolewaji wa hudumu bora.
Wanajua ni Rais Samia aliye kamilisha Bwawa la mwalimu Nyerere,ujenzi wa SGR mpaka Dodoma,ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya 300,ujenzi wa shule za sekondari kwa msingi,utolewaji wa Elimu bure hadi kidato cha sita,kuongezeka kwa bajeti ya Mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu kufikia Bilioni 784, kuongezeka kwa bajeti ya afya kufikia Trilioni moja point tatu na mengine mengi sana.
Hii ndio sababu ya kuamua kumuunga mkono na kumsemea Rais wetu Mpendwa kwa nguvu zote ,na kuahidi kumpigia kampeni za nyumba kwa nyumba na mtaa kwa mtaa nchi nzima.
Na kwa hakika wasomi wote wanasema Oktoba ni mwendo wa kutiki kwa Rais Samia na wagombea wote wa CCM.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.