Wakulonga
JF-Expert Member
- Oct 29, 2012
- 762
- 772
Habari wana JF
Naomba niende moja kwa moja kweny mada. Suala la usafi ni jambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu kwani humuepusha na magonjwa mbali mbali. Kama ilivyo katika maeneo mbali mbali ya jiji la Dsm watu huchangia kwa ajili ya uzoaji taka. Watu huchangia kwa gharama tofauti kulingana na sehemu husika. Kwa mfano kwetu tunatoa Tsh 5,000/- kwa mwezi kwa ajili uzoaji taka. Hilo mimi sina shaka nalo nimeridhika kabisa, wasiwasi wangu ni hii risiti niliopewa mbona haionyeshi hiyo shilingi elfu tano je ninaamini vp kweli fedha yangu inafika mahala husika au midomoni mwa watu? Wahusika kama mpo humu hebu rekebisheni ili mtuondoe shaka.
Naomba niende moja kwa moja kweny mada. Suala la usafi ni jambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu kwani humuepusha na magonjwa mbali mbali. Kama ilivyo katika maeneo mbali mbali ya jiji la Dsm watu huchangia kwa ajili ya uzoaji taka. Watu huchangia kwa gharama tofauti kulingana na sehemu husika. Kwa mfano kwetu tunatoa Tsh 5,000/- kwa mwezi kwa ajili uzoaji taka. Hilo mimi sina shaka nalo nimeridhika kabisa, wasiwasi wangu ni hii risiti niliopewa mbona haionyeshi hiyo shilingi elfu tano je ninaamini vp kweli fedha yangu inafika mahala husika au midomoni mwa watu? Wahusika kama mpo humu hebu rekebisheni ili mtuondoe shaka.