Kupitia hotiba yake ya mdahalo pale anatoglo, mheshimiwa mkwere aliongelea juu ya uchakachuaji kupitia mtandao. alisema, nanukuu ' nivigumu kuchakachua matokeo, labda wakosee ktk kuingiza matokeo' mwisho wa kunukuu.
alichosema ndio kinafanyika sasa. nec inakosea kuingiza matokeo kwa kubadilisha kura haswa za urais.
alichosema ndio kinafanyika sasa. nec inakosea kuingiza matokeo kwa kubadilisha kura haswa za urais.