masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,906
- 13,211
- Thread starter
- #301
Mkuu hao machotara wako Zanzibar tu?Sikiliza ushuhuda wa Mkapa, utajua ninyi wa damudamu mliua machotara wepi.
Au husomi kupitia links na video,unataka ulishwe kama mutoto ya darasa ya 1.?
Mapanga pia mnatumia kwenye kile kikosi chenu cha mazombie, risasi moto na vitu vyenye ncha kali ndio ngao yenu. Ninyi mnapenda damu kinoma.
Link1.MAONI YA MHARIRI: Mazombi ni nani, kwa nini wanatamba Zanzibar
Link2. Raia Mwema - Kikwete na ukatili wa “mazombi”
Link3. Maalim Seif:''Mazombie'' Wanashambulia wafuasi wangu - BBC Swahili
Na wakiwa huko Zanzibar, basi wanauwawa na Mkapa, watu wa ajabu ninyi!
Wakihamia bara wako salama au vipi?
Basi mna matatizo makubwa huko Zenj, maana inaelekea kuna ubaguzi wa kutisha, swala linalokanushwa na ninyi wenyewe kila siku.
Na mazombie wako visiwani tu?
Huku bara salama salmini!
Halafu mwasema Zanzibar ni njema, mwenye hamu na aje!!
Mmelea matatizo yenu ya kibaguzi, mkija huku bara mnaishi peponi!