Uchaguzi Zanzibar: Anguko la kwanza la Rais Dk. Magufuli

ngozimbili

JF-Expert Member
Jul 28, 2011
1,398
1,006
Bila shaka wengi tunakubaliana na utendaji wa mh. Magufuli,lakini nafasi aliyonayo pamoja na utendaji lazima uwe na muono wa vikwazo vitakavyokwamisha utendaji wake mahiri (ambayo kwa maoni yangu ndio nguvu pekee ya dk. Magufuli angalau kwa sasa).Kutangazwa kufutwa kwa matokeo Zanzibar kunaleta mgogoro mkubwa pengine kuliko yote tuliyopata kukutana nayo.

Jambo la kwanza kuathirika ni diplomasia yetu,kwa rais asiyekuwa na uzoefu ktk diplomasia,huku upande mmoja wa muungano ukiwa ktk mgogoro kujifanya kuchapa kazi tu kunatoa taswira kuwa ni rais wa TANGANYIKA na hana habari na maendeleo ya ZANZIBAR.

Na kama kunahitajika chochote basi kitu hicho JESHI!

Kwa kifupi kama unapeleka JESHI na huna HABARI na chochote,unapeleka ujumbe kwa WAZANZIBAR kwamba wapo UNDER OCCUPATION!

Wapi tunakwenda hatuna hakika lakini tuna uhakika sio kuzuri,na pengine DK MAGUFULI huu ndio mtihani utakaoamua hatma ya uongozi wake.

MUNGU AWAPE HEKIMA.

Nimekuwa nikifuatilia sana siasa za Zanzibar na sipati jibu wa yale yanayoendele kule.

Ikumbukwe kuwa matatizo ya Zanzibar yametokea baada ya Maalim kusema kuwa yeye ndie mshindi
kwa mujibu wa matokeo ya kwenye vituo.

Tume ya uchaguzi ya Zanzibar iliamua kufuta matokeo ya uchaguzi kwa madai ya kuwepo kasoro pamoja Seif kujitangazia ushindi.

Rais aliyepita ndg Jk alijitahidi sana kuhakikisha kuwa anaondoka madarakani bila machafuko kutokea akiwa kiongozi.

Hii inamaanisha kuwa haki isipotendeka na wakati huo huo machafuko yakatokea ina maana ya kwamba Rais aliye madarakani ndie atakaye beba msalaba. Jk atakuwa anaangalia kwenye tv tu.

Namshauri Mh J. P. Magufuli kutumia busara sana kuhusu hali ya sasa ya Zanzibar.

Busara isipotumika hakika Serikali itapata kashfa kubwa sana kwani Wazanzibari walio wengi wameshafanya maamuzi kwenye box la kura.

Mh JPM umeanza kazi vizuri na usikubali Mtanzania
yeyote apoteze Uhai au Viungo kwa ajili ya madaraka.

Mungu Ibariki
Tanzania.
 
Mkuu,magufuli ni jembe la site,hayo mambo ya diplomasia unajiambia mwenyewe,mi ntapata taswira ya tanzania pale nitakapoliona baraza la mawaziri na mwenendo wa bunge jipya,nje ya hapo namuona magufuli kama wa kawaida sana tu,just too local.
 
Ninyi ndo type za watoto ambao uwa mnataka hata jua siri za WAZAZI WENU CHUMBANI.
 
hiyo ni kazi ya jk amalize matatizo yake amwachie mwenzake nchi ikiwa salama
 
CCM imeliingiza taifa kwenye mgogoro mkubwa sana.
Pombe anajifanya hana habari na zanzibar ila kutwa nzima zimwi la zanzibar linavinjari kichwani kwake.
 
CCM imeliingiza taifa kwenye mgogoro mkubwa sana.
Pombe anajifanya hana habari na zanzibar ila kutwa nzima zimwi la zanzibar linavinjari kichwani kwake.

Hakuna mgogoro mkubwa Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Tatizo kubwa kwa wale ambao hawawezi kulitatua.
 
Bila shaka wengi tunakubaliana na utendaji wa mh. Magufuli,lakini nafasi aliyonayo pamoja na utendaji lazima uwe na muono wa vikwazo vitakavyokwamisha utendaji wake mahiri (ambayo kwa maoni yangu ndio nguvu pekee ya dk. Magufuli angalau kwa sasa).Kutangazwa kufutwa kwa matokeo Zanzibar kunaleta mgogoro mkubwa pengine kuliko yote tuliyopata kukutana nayo.

Jambo la kwanza kuathirika ni diplomasia yetu,kwa rais asiyekuwa na uzoefu ktk diplomasia,huku upande mmoja wa muungano ukiwa ktk mgogoro kujifanya kuchapa kazi tu kunatoa taswira kuwa ni rais wa TANGANYIKA na hana habari na maendeleo ya ZANZIBAR.

Na kama kunahitajika chochote basi kitu hicho JESHI!

Kwa kifupi kama unapeleka JESHI na huna HABARI na chochote,unapeleka ujumbe kwa WAZANZIBAR kwamba wapo UNDER OCCUPATION!

Wapi tunakwenda hatuna hakika lakini tuna uhakika sio kuzuri,na pengine DK MAGUFULI huu ndio mtihani utakaoamua hatma ya uongozi wake.

MUNGU AWAPE HEKIMA.

Umewelewa kiroba wewe lofa! wait kila kwenye mazuri changamoto hujitokeza
 
Pamoja na kwamba kimsingi namuunga Magufuli hili la Zanzibar limefanya nijiulize mara mbili imani yangu kwake. Kuna dhana ya wana CCM kujiona wao ni bora kuliko kila kitu jambo ambalo ni la hatari sana.
Bila shaka wengi tunakubaliana na utendaji wa mh. Magufuli,lakini nafasi aliyonayo pamoja na utendaji lazima uwe na muono wa vikwazo vitakavyokwamisha utendaji wake mahiri (ambayo kwa maoni yangu ndio nguvu pekee ya dk. Magufuli angalau kwa sasa).Kutangazwa kufutwa kwa matokeo Zanzibar kunaleta mgogoro mkubwa pengine kuliko yote tuliyopata kukutana nayo.

Jambo la kwanza kuathirika ni diplomasia yetu,kwa rais asiyekuwa na uzoefu ktk diplomasia,huku upande mmoja wa muungano ukiwa ktk mgogoro kujifanya kuchapa kazi tu kunatoa taswira kuwa ni rais wa TANGANYIKA na hana habari na maendeleo ya ZANZIBAR.

Na kama kunahitajika chochote basi kitu hicho JESHI!

Kwa kifupi kama unapeleka JESHI na huna HABARI na chochote,unapeleka ujumbe kwa WAZANZIBAR kwamba wapo UNDER OCCUPATION!

Wapi tunakwenda hatuna hakika lakini tuna uhakika sio kuzuri,na pengine DK MAGUFULI huu ndio mtihani utakaoamua hatma ya uongozi wake.

MUNGU AWAPE HEKIMA.
 
Saif alitaka mamlaka kamili sasa wanayo wanataka magufuli afanyeje? Wanayo katiba yao wayashughulikie wenyewe kwa mujibu wa katiba yao.
 
Saif alitaka mamlaka kamili sasa wanayo wanataka magufuli afanyeje? Wanayo katiba yao wayashughulikie wenyewe kwa mujibu wa katiba yao.

Mkuu Eddy
Maalim Seif alikuwa anatangaza hadharani huo msimamo wake wa Zanzibar yenye Mamlaka kamili na wana muafaka wao wa kushughulikia ya kwao kwa mujibu wa katiba yao.

Mr President DrJPM please don't interfere.

Waarabu wa PEMBA wanajuana kwa VILEMBA.
 
Kwa mbaali sana,naliona anguko la Pombekali,nawaona waasisi wa anguko hilo wakishangilia kwa sherehe na burudani.Namwona Jinga Kubwa akitumia kete yake kumpandisha Mokoriz,nawaona Wakurugenzi wakitesa kwa zamu,nawaona Makatibu wakuu wakipishana angani,nawaona Wazanzibar wakipanda mitumbwi huku nyuma yao moto mkubwa unawaka.Nawaona Watanzania wakilia na kusaga meno kwa majuto makuu huku imani ikiwa imekwisha..
 
Back
Top Bottom