The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 11,100
- 13,698
Mbari ya Gen Z iliuawa na mbari ya watawala.
Mbari ya wasio chawa iliuawa na machawa
Mbari ya wasio CCM imeuawa na CCM.
Kuna mauaji ya kimbari Tanzania.
ICC inaweza kuanza kuchunguza.
Mbari ya wasio chawa iliuawa na machawa
Mbari ya wasio CCM imeuawa na CCM.
Kuna mauaji ya kimbari Tanzania.
ICC inaweza kuanza kuchunguza.