mgombea jamaa hajakutaja hapo wakati nawe ni mmoja waoHabari haijakamilika na umeitoa kwa haraka bila kuifanyia kazi au kuiandaa. Kama ulitaka kureport uchaguzi wa Bavicha basi ungeweka taarifa kamili. Wagombea hujui hata majina yao kamili. Na uchaguzi ni wa Mwenyekiti peke yake? Kwa nini usiweke wagombea wa nafasi zote na cv zao au sifa zao? Kama huna waombe wenye kuhusika.
Huwezi ukapata mchango wowote wa kuridhisha kuhusu wagombea au uchaguzi huo kwa taarifa kama hii.
Nakushauri kama mwanachadema please revisit your thread and if you agree go back, put on a shirt before putting on a tie and come back.
Otherwise, any and all can win the elections.
Nafasi ya m/kiti had sasa waliotangaza nia ni Habibu Mchange,jonh heche,Grayson nyakarungu,Silinde(mp)na Mwampamba..je ni nan kat ya hawa atakuwa mwenyekit wa vijana taifa?Uvccm ipotee kabisa kutokea hapa