Uchaguzi wa urais Madagascar: Wagombea 36 na wapiga kura milioni 10 wapiga kura

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
000_1al8ul_0.jpg
Antananarivo, Novemba 6, 2018.MARCO LONGARI / AFP

Wapiga kura milioni kumi wanapiga kura Jumatano hii Novemba 7 nchini Madagascar kwa duru ya kwanza ya kumchagua rais wao mpya kati ya wagombea 36, ikiwa ni pamoja na marais wa zamani wanne, mawaziri wa zamani watatu, wachungaji, na mwanamuziki mmoja.


Ushindani mkali ni kati ya wagombea watatu, marais wote wa zamani: Marc Ravalomanana, Andry Rajoelina na Hery Rajaonarimampianina.

Marais hao wa zamani wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuwashawishi wapiga kura. Wamekuwa wakipiga kampeni nchi nzima kwa kutumia helikopta, wakisambaza fulana katika mikutano yao pamoja na kutoa matangazo katika vyombo vya habari vya taifa.

Uchaguzi ambapo ni kipimo kwa nchi hii inayokabiliwa mara kwa mara na mgogoro wa baada ya uchaguzi.
Rais anayemaliza muda wake Henry Rajaonarimampianina anawania pia tena awamu ya pili madarakani.


Kampeni za uchaguzi nchini humo zilijawa na utata kufuatia matumizi ya fedha ya wagombea wakuu watatu kati ya 36 wanao wania nafasi hiyo.

Ravalomanana aliitawala nchi hiyo kuanzia mwaka 2002 hadi 2009 alipoondolewa madarakani kwa mapinduzi yaliyofanywa na Andry Rajoelina, ambaye wakati huo alikuwa Meya katika mji mkuu wa nchi hiyo Antananarivo.
Viongozi wote hao walipigwa marufuku kuwania kiti hicho tena mwaka 2013 kufuatia shinikizo kutoka jumuia ya kimataifa,
 
000_1al8ul_0.jpg
Antananarivo, Novemba 6, 2018.MARCO LONGARI / AFP

Wapiga kura milioni kumi wanapiga kura Jumatano hii Novemba 7 nchini Madagascar kwa duru ya kwanza ya kumchagua rais wao mpya kati ya wagombea 36, ikiwa ni pamoja na marais wa zamani wanne, mawaziri wa zamani watatu, wachungaji, na mwanamuziki mmoja.


Ushindani mkali ni kati ya wagombea watatu, marais wote wa zamani: Marc Ravalomanana, Andry Rajoelina na Hery Rajaonarimampianina.

Marais hao wa zamani wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuwashawishi wapiga kura. Wamekuwa wakipiga kampeni nchi nzima kwa kutumia helikopta, wakisambaza fulana katika mikutano yao pamoja na kutoa matangazo katika vyombo vya habari vya taifa.

Uchaguzi ambapo ni kipimo kwa nchi hii inayokabiliwa mara kwa mara na mgogoro wa baada ya uchaguzi.
Rais anayemaliza muda wake Henry Rajaonarimampianina anawania pia tena awamu ya pili madarakani.


Kampeni za uchaguzi nchini humo zilijawa na utata kufuatia matumizi ya fedha ya wagombea wakuu watatu kati ya 36 wanao wania nafasi hiyo.

Ravalomanana aliitawala nchi hiyo kuanzia mwaka 2002 hadi 2009 alipoondolewa madarakani kwa mapinduzi yaliyofanywa na Andry Rajoelina, ambaye wakati huo alikuwa Meya katika mji mkuu wa nchi hiyo Antananarivo.
Viongozi wote hao walipigwa marufuku kuwania kiti hicho tena mwaka 2013 kufuatia shinikizo kutoka jumuia ya kimataifa,
Shithole Africa!
 
000_1al8ul_0.jpg
Antananarivo, Novemba 6, 2018.MARCO LONGARI / AFP

Wapiga kura milioni kumi wanapiga kura Jumatano hii Novemba 7 nchini Madagascar kwa duru ya kwanza ya kumchagua rais wao mpya kati ya wagombea 36, ikiwa ni pamoja na marais wa zamani wanne, mawaziri wa zamani watatu, wachungaji, na mwanamuziki mmoja.


Ushindani mkali ni kati ya wagombea watatu, marais wote wa zamani: Marc Ravalomanana, Andry Rajoelina na Hery Rajaonarimampianina.

Marais hao wa zamani wamekuwa wakitumia nguvu kubwa kuwashawishi wapiga kura. Wamekuwa wakipiga kampeni nchi nzima kwa kutumia helikopta, wakisambaza fulana katika mikutano yao pamoja na kutoa matangazo katika vyombo vya habari vya taifa.

Uchaguzi ambapo ni kipimo kwa nchi hii inayokabiliwa mara kwa mara na mgogoro wa baada ya uchaguzi.
Rais anayemaliza muda wake Henry Rajaonarimampianina anawania pia tena awamu ya pili madarakani.


Kampeni za uchaguzi nchini humo zilijawa na utata kufuatia matumizi ya fedha ya wagombea wakuu watatu kati ya 36 wanao wania nafasi hiyo.

Ravalomanana aliitawala nchi hiyo kuanzia mwaka 2002 hadi 2009 alipoondolewa madarakani kwa mapinduzi yaliyofanywa na Andry Rajoelina, ambaye wakati huo alikuwa Meya katika mji mkuu wa nchi hiyo Antananarivo.
Viongozi wote hao walipigwa marufuku kuwania kiti hicho tena mwaka 2013 kufuatia shinikizo kutoka jumuia ya kimataifa,
Ni vzr sana kuonyesha demokurasia kwa uhuru, ila tatizo kubwa ni tume ya uchaguzi isipo fugamana na upande wa chama tawala itakua vizuri sana.
 
Back
Top Bottom