Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Pamoja na viongozi wa serikali na vyombo vya habari kuhimiza wananchi wakajiandikishe kwa ajili ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, wanachi wengi hawakujitokeza kufanya hivyo, sijui ni kwamba hawajui humuhimu wa kupiga kura au wameshagudua kuwa matokeo/viongozi wameshapangwa na hatakama watapiga kura yule aliyepangwa ndiye atapita hata kama ajachaguliwa. Naombeni mwenye datas jamaini.