Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Huyu prof ndie alichaguliwa tumajuzi na waziri kuwa diwani ama mjini nyotaaCHADEMA DODOMA MJINI
Leo kulikuwa na Uchaguzi wa Meya muda mfupi(dakika 2)uliopita na matokeo yamekuwa
1.Prof Davis Mwamfupe(CCM)-50
2.Mch Yona E Kusaja(CHADEMA)-8
Wapiga kura walikuwa 58
Zilizoharibika 0
by;-Mathias Raymond Nyakapala
Katibu wa Wilaya
Sent using Jamii Forums mobile app