Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,106
- 35,042
Hii kitu mbona haijakaa sawa kabisa.
Kwa mfano...
-Jina lake linaonyesha yeye ni jinsia ya Kiume, lakini ni Diwani wa kuteuliwa! Hapo imekaaje?
-Professor Mzima aliyekuwa anafundisha UDOM, anateuliwa kuwa diwani, anaacha kufundisha chuo inaenda kutumika tumbo?
-Yaani CCM walikosa kabisa Diwani anayewakilisha kata kuwa mgombea wa Umeya?
To be honest, it is too cheap kwa msomi wa kiwango cha Professor kukubali kuteuliwa Diwani ili ukatumie nafasi ya umeya, hiyo inaashiria kuwa sehemu kubwa ya maprofesa wetu ni WAJINGA kuliko hata raia asiyejua kusoma na kuandika.
Kwa mfano...
-Jina lake linaonyesha yeye ni jinsia ya Kiume, lakini ni Diwani wa kuteuliwa! Hapo imekaaje?
-Professor Mzima aliyekuwa anafundisha UDOM, anateuliwa kuwa diwani, anaacha kufundisha chuo inaenda kutumika tumbo?
-Yaani CCM walikosa kabisa Diwani anayewakilisha kata kuwa mgombea wa Umeya?
To be honest, it is too cheap kwa msomi wa kiwango cha Professor kukubali kuteuliwa Diwani ili ukatumie nafasi ya umeya, hiyo inaashiria kuwa sehemu kubwa ya maprofesa wetu ni WAJINGA kuliko hata raia asiyejua kusoma na kuandika.