FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,135
- 40,806
Kwani kabla ya kupewa barua ya kiapo si wanakuwa wamejihakikishia tayari kwamba wewe ni mTanzania na ndio maana ukapewa? Barua hutolewa kama ishara ya kutimiza matakwa yote yaan Uraia, umri, nk.nk..., waache ushenzi, hakuna sherianya hivyo!