Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,576
Baada ya kufuatilia kwa karibu pilika pilika za uchaguzi wa rais nchini Marekani in kwamba;
CNN inakidhi vigezo vyote vya kurefushwa na kuitwa CLINTON NEWS NETWORK (CNN). Hii ni kwa jinsi wanavyo ratibu mambo yao ili kuhakikisha by hooks or crooks Trump anataabishwa ili kumlainishia Clinton.
CNN inakidhi vigezo vyote vya kurefushwa na kuitwa CLINTON NEWS NETWORK (CNN). Hii ni kwa jinsi wanavyo ratibu mambo yao ili kuhakikisha by hooks or crooks Trump anataabishwa ili kumlainishia Clinton.