Kutokana na hujuma ambazo baadhi ya wagombea walizokuwa wakizifanya, na hivyo taarifa hizo kupelekwa makao makuu ya chama taifa hivyo maamuzi yaliyokuja ni kuwa uchaguzi usitishwe hadi hapo taarifa nyingine itakapotangazwa!
Hivyo wanachadema mbeya tuwewavumilivu na makini kwa hili
Hivyo wanachadema mbeya tuwewavumilivu na makini kwa hili