GE2025 Uchaguzi wa CCM unaenda vizuri

GE2025 Uchaguzi wa CCM unaenda vizuri

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,729
Reaction score
5,637
Uchaguzi wa ndani CCM unaenda vizuri.
Bado tunasubiri kuona Uchaguzi ndani ya vyama vingine.
Lakini tunasikitika kuhusu Chadema kwamba haitakuwa katika Uchaguzi Mkuu.
Judges 21:6
Today Israel has lost one tribe.
 
Hamna uchaguzi pale ni uhuni mtupu.. Refer tukio la form kwenye familia ya JK
 
Uchaguzi wa ndani CCM unaenda vizuri.
Bado tunasubiri kuona Uchaguzi ndani ya vyama vingine.
Lakini tunasikitika kuhusu Chadema kwamba haitakuwa katika Uchaguzi Mkuu.
Judges 21:6
Today Israel has lost one tribe.
Unadanganya.

Nchi nzima ni upigaji tu.



Acha ujinga wa kuona sisi ni wajinga

Fakyuu!!!!
 
Tutakuwepo maanina👊👊👊
 
Hakuna uchaguzi mkuu zaidi ya huu, huku ukishapita ndio basi tena labda boss asikupende au mambo ya kubalance tuu ili kupunguza kelele
 
Hakuna uchaguzi mkuu zaidi ya huu, huku ukishapita ndio basi tena labda boss asikupende au mambo ya kubalance tuu ili kupunguza kelele
Lakini utakuwa uchaguzi wa mwisho wa kijinga kutokea Tanzania chuni ya kiongozi debe tupu! Utaingia kwenye historia
 
Unaenda vizuri hasa maana wananyukana makonde na kuchomeana magari wenyewe kwa wenyewe🤣🤣🤣.
 
Back
Top Bottom