ithangaledi
Member
- Jun 4, 2011
- 84
- 57
Wasalaam wanajukwaa,
Joto la Uchaguzi wa Baraza la Vijana na Chama kwa ujumla Mkoa mpya wa Njombe unazidi kupamba moto.
Taarifa za uhakika kutoka Mkoani Njombe zinaarifu kuwa Kamanda Emanuel Masonga aliewahi kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi SUA amechukua fomu huku akitanguliwa na Kamanda Enosy Edwin ambaye ni mwanasheria na wakili msomi ambaye pia aliwahi kuwa Waziri Mkuu kwenye serikali ya wanafunzi DARUSO.
Joto la uchaguzi huo limepamba moto huku ushindani ukielezwa kuwa mkubwa kwa makamanda hawa ambapo Masonga anatajwa kuwa na ushawishi mkubwa wa kujenga.
Tutaendelea kuwapa update.
Ithangaledi
Joto la Uchaguzi wa Baraza la Vijana na Chama kwa ujumla Mkoa mpya wa Njombe unazidi kupamba moto.
Taarifa za uhakika kutoka Mkoani Njombe zinaarifu kuwa Kamanda Emanuel Masonga aliewahi kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi SUA amechukua fomu huku akitanguliwa na Kamanda Enosy Edwin ambaye ni mwanasheria na wakili msomi ambaye pia aliwahi kuwa Waziri Mkuu kwenye serikali ya wanafunzi DARUSO.
Joto la uchaguzi huo limepamba moto huku ushindani ukielezwa kuwa mkubwa kwa makamanda hawa ambapo Masonga anatajwa kuwa na ushawishi mkubwa wa kujenga.
Tutaendelea kuwapa update.
Ithangaledi