PostGE2025 Uchaguzi umepita, tujikite kwenye hoja za kusaidia wananchi

PostGE2025 Uchaguzi umepita, tujikite kwenye hoja za kusaidia wananchi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
38,534
Reaction score
31,198
Hakuna mwanasiasa anayesapoti mauaji na wala hatotokea ,wote watakana kuhusika ...it is done!
Kamwe usijiingize kwenye vurugu na kamwe usifikiri kutumia nguvu kufanikisha jambo lako unless una nguvu ya ziada.
sasa tujenge Taifa na tukutane 2030
 
Hakuna mwanasiasa anayesapoti mauaji na wala hatotokea ,wote watakana kuhusika ...it is done!
Kamwe usijiingize kwenye vurugu na kamwe usifikiri kutumia nguvu kufanikisha jambo lako unless una nguvu ya ziada.
sasa tujenge Taifa na tukutane 2030
Huwezi Kujenga Taifa kwa kuua vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa!! Hebu angalia, unaweza jenga Taifa na wakina Wassira ambao kutwa wanasinzia? Taifa hili lazima lisafishwe na kuanza upya kwa kuwawajibisha waliohusika na kulichafua ; halafu wananchi wachague viongozi wanaowataka wawaongoze period. Short of that ni kujidanganya sawa na kufunika uvundo ukidhani hutasiskia harufu mbaya!
 
Hakuna mwanasiasa anayesapoti mauaji na wala hatotokea ,wote watakana kuhusika ...it is done!
Kamwe usijiingize kwenye vurugu na kamwe usifikiri kutumia nguvu kufanikisha jambo lako unless una nguvu ya ziada.
sasa tujenge Taifa na tukutane 2030
Uchaguzi ulifanya wewe na huyo mal*** wenu mzee??
 
Hakuna mwanasiasa anayesapoti mauaji na wala hatotokea ,wote watakana kuhusika ...it is done!
Kamwe usijiingize kwenye vurugu na kamwe usifikiri kutumia nguvu kufanikisha jambo lako unless una nguvu ya ziada.
sasa tujenge Taifa na tukutane 2030
View attachment 3506146
Haijaisha hadi kisasi kilipwe
 
Hakuna mwanasiasa anayesapoti mauaji na wala hatotokea ,wote watakana kuhusika ...it is done!
Kamwe usijiingize kwenye vurugu na kamwe usifikiri kutumia nguvu kufanikisha jambo lako unless una nguvu ya ziada.
sasa tujenge Taifa na tukutane 2030
View attachment 3506146

..Raisi anapaswa kuwawajibisha wote waliosimamia mauaji ya waandamanaji, pamoja na waliokuwa hawako kwenye maandamano.

..serikali pia inawajibika kuwafuta uchungu waliopoteza ndugu zao, na waliojeruhiwa wakati wa maandamano.

..serikali pia iwafidie wote walioharibiwa mali zao kutokana na vurugu za maandamano.

..miili yote ipatikane. Waliopotezwa kabla ya maandamano wapatikane.

..hayo yakishafanyika taifa litakuwa katika nafasi ya kuangalia mbele.
 
Mlipora uchaguzi ili mjipe vyeo mkitegemea mtasema uchaguzi umeisha? Sasa subiri muone kama ni rahisi kuua watu kisha kujiweka madarakani halafu watu wanyamaze.
 
Back
Top Bottom