mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Yafuatayo ndo mambo muhimu ya kufanya sasa, baada ya uchaguzi, ili kuwe na mabadiliko bora na siyo mabadiliko ya kuzungusha mikono kama wana sarakasi:
1) Tubadilike kifikra kutoka kulaumu tu bali kufanya kazi. Tanzania ya Magufuli ni #kazitu.
2) Kujituma na kuwajibika kikamilifu mahala pa kazi kwa kila mmoja wetu.
3) Kuondokana na tabia ya rushwa na ufisadi pasipo kusubiri mahakama ya mafisadi.
4) Makampuni yanayochezesha bahati nasibu na mashindano ya vijana, hususani sanaa, yajikite katika kushindanisha vijana katika stadi za maisha (ususi, useremala, upishi, kilimo, gereji, nk) ili kuongeza uzalishaji na huduma zenye tija na ajira kwa vijana. Wakati mashindano ya sanaa mshindi ni mmoja, mashindano ya stadi za maisha ni kundi la vijana.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
1) Tubadilike kifikra kutoka kulaumu tu bali kufanya kazi. Tanzania ya Magufuli ni #kazitu.
2) Kujituma na kuwajibika kikamilifu mahala pa kazi kwa kila mmoja wetu.
3) Kuondokana na tabia ya rushwa na ufisadi pasipo kusubiri mahakama ya mafisadi.
4) Makampuni yanayochezesha bahati nasibu na mashindano ya vijana, hususani sanaa, yajikite katika kushindanisha vijana katika stadi za maisha (ususi, useremala, upishi, kilimo, gereji, nk) ili kuongeza uzalishaji na huduma zenye tija na ajira kwa vijana. Wakati mashindano ya sanaa mshindi ni mmoja, mashindano ya stadi za maisha ni kundi la vijana.
TAFAKARI CHUKUA HATUA