johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,029
Kwa mtazamo huo unaweza kuona mshindi wa Jumla atakuwa CCM kwa sababu Eneo kubwa la Tanzania ni Vijijini
Hili huitaji kufafanuliwa na Mganga wa kienyeji Kwamba Bush Stars kuchele
Ila bunge litachangamka sana kwa sababu mbunge Mmoja wa Town ni Sawa na 100 wa Village
Kwako Lucas 😂🔥
Hili huitaji kufafanuliwa na Mganga wa kienyeji Kwamba Bush Stars kuchele
Ila bunge litachangamka sana kwa sababu mbunge Mmoja wa Town ni Sawa na 100 wa Village
Kwako Lucas 😂🔥