Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Soka la simba na yanga,,,ni siasa tupu
watakoma unafiki na fitina za soka na uongozi dhidi ya wenyewe kwa wenyewe."siye yanga wa nyakato mwanza roho kwaatu!adui yako mwombee njaa.(hata mama mwanaidi wa kijiwe cha kahawa national aliwaasa kufanya uchaguzi bila mgawanyiko wa kimakundi).
ivi wewe malinzi Una nini wewe mzee?
kama umeshindwa kuendesha soka kaa pembeni
ulikua wp siku zote kuona hamna kamati ya maadili?
si mmetoa uamuzi juz nyie kua wambura arud kugombea? na uchaguz uendelee
Leo unakuja na nini? uchaguz unatakiwa ufanyike ili ili timu na viongozi wafanye usajil acha kutumika we mzee
ivi wewe malinzi Una nini wewe mzee?
kama umeshindwa kuendesha soka kaa pembeni
ulikua wp siku zote kuona hamna kamati ya maadili?
si mmetoa uamuzi juz nyie kua wambura arud kugombea? na uchaguz uendelee
Leo unakuja na nini? uchaguz unatakiwa ufanyike ili ili timu na viongozi wafanye usajil acha kutumika we mzee
Kazitunayo Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba ilitoa maamuzi juu ya uhalali wa uanachama wa mmoja wa wagombea,kamati ya rufaa ya uchaguzi ya TFF ilitengua maamuzi haya.Baada ya hapo TFF tukaletewa malalamiko juu ya maadili ya wagombea,inabidi yasikilizwe na kamati ya maadili ya Simba sc.Haya ni mambo mawili tofauti kabisa,tusiyachanganye.
Mkali kama akabangaWell said presidaa.
Kazitunayo Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba ilitoa maamuzi juu ya uhalali wa uanachama wa mmoja wa wagombea,kamati ya rufaa ya uchaguzi ya TFF ilitengua maamuzi haya.Baada ya hapo TFF tukaletewa malalamiko juu ya maadili ya wagombea,inabidi yasikilizwe na kamati ya maadili ya Simba sc.Haya ni mambo mawili tofauti kabisa,tusiyachanganye.
hii ni episode ngapi?
Namuunga mkono Jamal Malinzi 100% kwa hili sababu hao Simba walianza kutoa shutuma kwa TFF na specific kwa Rais Malinzi kabra na baada ya kamati ya Rufaa ya TFF kukaa na kutoa maamuzi wakadiliki hadi kusema Wambura anarudishwa sababu ni rafiki wa Malinzi (utetezi wa kipuuzi kabisa) lakini wakashindwa kutambua wao kwenye club yao ndio walishindwa kuuunda vyombo hivyo vya maamuzi wakaamua kukasimisha hiyo kazi kwa TFF, alichofanya Malinzi ni sahihi tena alichelewa ni bora wakafanya mambo yao wenyewe kwa kuunda kamati zao wakishindwana ndio waje TFF halafu hao Friends of Simba kama wanadhani mgombea wao ndio chaguo la wanachama wa simba si waache wanachama waamue mbona kama wamejikita kutaka kupata ushindi wa mezani hovyo kabisa tena kuna wengine wana heshima zao wanajidhalilisha kila kukicha.
Hoja ni kwamba, mchakato wa uchaguzi wa klabu yoyote hauwezi kuendelea kama TFF haijabariki mchakato huo,vilevile SSC hawakufanya mchakato huu kimyakimya. Je TFF kwann iliruhusu mchakato huu uendelee ili khali wakijua kuna kamati muhimu haijaundwa? usiongee kishabiki tu, Inamaana TFF waliota tu kuwa katika uchaguzi wa SSC hakutakuwa na ukiukwaji wa kimaadili na ndo maana wakaruhusu mchakato uendelee? Kuna kitu hukijui kwamba hata huyo Malinzi unaemsema hao FoS sio maadui zake na wanasaidiana kwa mambo mengu TU.
Kazitunayo Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba ilitoa maamuzi juu ya uhalali wa uanachama wa mmoja wa wagombea,kamati ya rufaa ya uchaguzi ya TFF ilitengua maamuzi haya.Baada ya hapo TFF tukaletewa malalamiko juu ya maadili ya wagombea,inabidi yasikilizwe na kamati ya maadili ya Simba sc.Haya ni mambo mawili tofauti kabisa,tusiyachanganye.
Mimi wala sijasema Friends of Simba wana uadui na Malinzi na najua fika baadhi yao ni watu wake wa karibu mtu kama Kaburu ni wazi yupo karibu na Malinzi, lakini kama utakuwa umenielewa vizuri nimejenga hoja katika dhana kwamba tayari wadau wa simba wameonesha kutokuwa na imani na TFF tena kwa kuwaita waandishi na kuishutumu TFF na hasa Malinzi waziwazi sasa kwa hali kama hiyo TFF kwa nini isiwarudishie wafanya mambo yao kuanzia awali ili kuepusha lawama zisizokuwa na kichwa wala miguu kwa TFF hivyo ni wazi busara ilikuwa ni kuwarudisha waanze kuunda vyombo vya kusimamia mambo yao ndio mchakato uendelee wewe ulitaka waendelee halafu waje waseme TFF ndio waliwaingilia wewe kama ni mwanachama wa Simba mnaogopa nini kufata maelekezo ya TFF na msimamie mambo yenu Eboooooo.