JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Katika hali ya kusikitisha na inayotakiwa kukemewa ni kile cha aliyeshindwa uchaguzi kuapishwa na kuachwa aliyeshinda
Msala huu umetokea huko kijiji cha Lengatei Kara ya Lengatei ambapo mshindi wa CHADEMA aliyepata kura 199 ameachwa NA kuapishwa wa CCM aliyepata kura 68
Nini maoni yako?
Msala huu umetokea huko kijiji cha Lengatei Kara ya Lengatei ambapo mshindi wa CHADEMA aliyepata kura 199 ameachwa NA kuapishwa wa CCM aliyepata kura 68
Nini maoni yako?