Kuhusu presidential candidate, mi nadhani mwanasheria Tundu Lissu anafaa kama atapendekezwa na chama.[/QUOTE]
Wakimsimamisha LIssu watakuwa wamecheza kweli,Jamaa anajiweza kweli,l na wanachi wanamwamini sana akini waanze sasa kuangalia watu wanaoonyesha kutaka kugombea majimbo ili waanze kuimarisha maeneo ya majimbo ya uchaguzi
Wakimsimamisha LIssu watakuwa wamecheza kweli,Jamaa anajiweza kweli,l na wanachi wanamwamini sana akini waanze sasa kuangalia watu wanaoonyesha kutaka kugombea majimbo ili waanze kuimarisha maeneo ya majimbo ya uchaguzi