VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Ili kujenga heshima kati ya Members na uendeshaji endelevu wa JF,napendekeza ufanyike uchaguzi Mkuu humu wa kupata Mwenyekiti,Makamu Mwenyekiti,Katibu Mkuu,Naibu Katibu Mkuu,Mweka Hazina na Wajumbe wa Kamati ya Utendaji. Uchaguzi huu hauhushani na kuwavua heshima Founders na Moderators. MUHIMU:Karibuni kwa maoni juu ya kuchukua fomu,kurejesha fomu,usaili wa wagombea,uteuzi wa wagombea,kampeni na uchaguzi wenyewe ukifuatiwa na kiapo kwa wachaguliwa.