Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Nipo kinshasa kusimamia uchaguzi hapa kongo! Hali ya usalama ni nzuri na watu wanaendelea kupiga kura bila hofu yoyote!
Nitawajuza kila kitu kitakachoendelea hapa Kongo!!
Updates:
Nipo jimbo la Katanga mida hii watu bado wapo kwenye vituo na upigwaji wa kura unaendele na sijajua saa ngapi utaisha!
Kulikuwa na rabsha za hapa na pale kule kinshasa lakini mungu anasaidia vikosi vya usalama viko imara, binafsi kwa mtazamo wa wapigakura japo kuhesabiwa kura bado taswira nyingi za wakongomani zinatoa ushindi kwa Kabila!
Uwepo wangu huku ni kwa kazi moja tu nayo ni kuhakikisha Joseph Kabila anashinda hiyo ni kwa mujibu wa agizo la magogoni!
Ningewapa picha ila mtanisamehe hii ni kwa mjibu wa taratibu za kazi yangu ya kiusalama japo ninasimu yenye kamera!
Endelea kufuatilia kila hatua ya kumrudisha madarakani kabila!!
UPDATES
Naaam ndugu wanajf niasubuhi kumekucha pilika ni nyingi hapa kongo, hali ya usalama siyo mbaya japo jana mapigano ya ghafla yalizuka na kusababisha watu watano kupoteza maisha kule kinshasa!
Shuguli za kuhesabu kura zinaendelea katika vituo karibu vyote!
Mida ya saa nne na nusu asubuhi za hapa nitalazimika kurudi kinshasa kwa mkutano wa dharura na Kabila! Usi log off jf upate yatakakuwa yameongelewa!
Updates
Jana majira ya saa sita kasoro maafisa usalama toka tz tulikutana mgombea wa upinzani ndugu Etienne Tshisekedi kutaka kujua mtazamo wake kuhusu uchaguzi na matokeo yajayo! Kwa hakika alionyesha kujiamini na akatuahidi kuyapokea matokeo yoyote yale ya haki. Ingawa aliosha kulalamikia dalili za hujuma ambozo ni kweli zipo, hakusema atapinga matokeo.
UPDATES
Mtanisame net inasumbua sana hapa!
Kwa wale wenye kubeza siwashangai kwakuwa nililitarajia hili! Naamini wengi hamjui misheni za kiusalama!
Kuna haja ya kuanzisha mafunzo hapa jf ili kupunguza ubishi usio na maana!
Kutokana na halihalisi ya mambo tumelazimika kweka kambi makao makuu ya tume ya uchaguzi kwa kazi moja tu ya kubadili matokeo, nitawaomba niwape habari baada ya kutangazwa matokeo ila kwa wale wana jf mliopo Congo naomba endeleeni kutoa matokeo!
UPDATES
Wana jf upepo unakwenda vema baada ya kuubadili mwelekeo, ikiwa ni tayari 25% ya kura zote zimeshahesabiwa Mr Kabila anaongoza kwa asilimia 58 dhidi ya wapinzani wake akiwa na kura 1.86milioni!
Kwa mda wa siku mbili hali ilikuwa tete kidogo baada ya mkuu wa tume kuonyesha kusimamia haki huku ikulu ya kinshasa ikishinikiza matakwa yake!
Vuteni subira lakini hiyo ndiyo hali halisi ya Uchaguzi hapa ba Kongo!
UPDATES
Tume ya uchagu imeahiri kutangaza matoke ambayo mpa dakika hii anaongoza kabila kwa 59.8% dhi ya 34% za mpinzani wake wakaribu!
Baada ya masaa 48 ndipo yatatangazwa rasmi! Hii imetokana na vurugu zilizopelekea watu 18 kuuwa tangu juzi!
Nitawajuza kila kitu kitakachoendelea hapa Kongo!!
Updates:
Nipo jimbo la Katanga mida hii watu bado wapo kwenye vituo na upigwaji wa kura unaendele na sijajua saa ngapi utaisha!
Kulikuwa na rabsha za hapa na pale kule kinshasa lakini mungu anasaidia vikosi vya usalama viko imara, binafsi kwa mtazamo wa wapigakura japo kuhesabiwa kura bado taswira nyingi za wakongomani zinatoa ushindi kwa Kabila!
Uwepo wangu huku ni kwa kazi moja tu nayo ni kuhakikisha Joseph Kabila anashinda hiyo ni kwa mujibu wa agizo la magogoni!
Ningewapa picha ila mtanisamehe hii ni kwa mjibu wa taratibu za kazi yangu ya kiusalama japo ninasimu yenye kamera!
Endelea kufuatilia kila hatua ya kumrudisha madarakani kabila!!
UPDATES
Naaam ndugu wanajf niasubuhi kumekucha pilika ni nyingi hapa kongo, hali ya usalama siyo mbaya japo jana mapigano ya ghafla yalizuka na kusababisha watu watano kupoteza maisha kule kinshasa!
Shuguli za kuhesabu kura zinaendelea katika vituo karibu vyote!
Mida ya saa nne na nusu asubuhi za hapa nitalazimika kurudi kinshasa kwa mkutano wa dharura na Kabila! Usi log off jf upate yatakakuwa yameongelewa!
Updates
Jana majira ya saa sita kasoro maafisa usalama toka tz tulikutana mgombea wa upinzani ndugu Etienne Tshisekedi kutaka kujua mtazamo wake kuhusu uchaguzi na matokeo yajayo! Kwa hakika alionyesha kujiamini na akatuahidi kuyapokea matokeo yoyote yale ya haki. Ingawa aliosha kulalamikia dalili za hujuma ambozo ni kweli zipo, hakusema atapinga matokeo.
UPDATES
Mtanisame net inasumbua sana hapa!
Kwa wale wenye kubeza siwashangai kwakuwa nililitarajia hili! Naamini wengi hamjui misheni za kiusalama!
Kuna haja ya kuanzisha mafunzo hapa jf ili kupunguza ubishi usio na maana!
Kutokana na halihalisi ya mambo tumelazimika kweka kambi makao makuu ya tume ya uchaguzi kwa kazi moja tu ya kubadili matokeo, nitawaomba niwape habari baada ya kutangazwa matokeo ila kwa wale wana jf mliopo Congo naomba endeleeni kutoa matokeo!
UPDATES
Wana jf upepo unakwenda vema baada ya kuubadili mwelekeo, ikiwa ni tayari 25% ya kura zote zimeshahesabiwa Mr Kabila anaongoza kwa asilimia 58 dhidi ya wapinzani wake akiwa na kura 1.86milioni!
Kwa mda wa siku mbili hali ilikuwa tete kidogo baada ya mkuu wa tume kuonyesha kusimamia haki huku ikulu ya kinshasa ikishinikiza matakwa yake!
Vuteni subira lakini hiyo ndiyo hali halisi ya Uchaguzi hapa ba Kongo!
UPDATES
Tume ya uchagu imeahiri kutangaza matoke ambayo mpa dakika hii anaongoza kabila kwa 59.8% dhi ya 34% za mpinzani wake wakaribu!
Baada ya masaa 48 ndipo yatatangazwa rasmi! Hii imetokana na vurugu zilizopelekea watu 18 kuuwa tangu juzi!