Uchaguzi Mkuu Congo: nani Rais wa halali kati ya Kabila na Tshisekedi?

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,987
20,271
Nipo kinshasa kusimamia uchaguzi hapa kongo! Hali ya usalama ni nzuri na watu wanaendelea kupiga kura bila hofu yoyote!

Nitawajuza kila kitu kitakachoendelea hapa Kongo!!

Updates:
Nipo jimbo la Katanga mida hii watu bado wapo kwenye vituo na upigwaji wa kura unaendele na sijajua saa ngapi utaisha!
Kulikuwa na rabsha za hapa na pale kule kinshasa lakini mungu anasaidia vikosi vya usalama viko imara, binafsi kwa mtazamo wa wapigakura japo kuhesabiwa kura bado taswira nyingi za wakongomani zinatoa ushindi kwa Kabila!

Uwepo wangu huku ni kwa kazi moja tu nayo ni kuhakikisha Joseph Kabila anashinda hiyo ni kwa mujibu wa agizo la magogoni!

Ningewapa picha ila mtanisamehe hii ni kwa mjibu wa taratibu za kazi yangu ya kiusalama japo ninasimu yenye kamera!
Endelea kufuatilia kila hatua ya kumrudisha madarakani kabila!!

UPDATES

Naaam ndugu wanajf niasubuhi kumekucha pilika ni nyingi hapa kongo, hali ya usalama siyo mbaya japo jana mapigano ya ghafla yalizuka na kusababisha watu watano kupoteza maisha kule kinshasa!

Shuguli za kuhesabu kura zinaendelea katika vituo karibu vyote!

Mida ya saa nne na nusu asubuhi za hapa nitalazimika kurudi kinshasa kwa mkutano wa dharura na Kabila! Usi log off jf upate yatakakuwa yameongelewa!

Updates
Jana majira ya saa sita kasoro maafisa usalama toka tz tulikutana mgombea wa upinzani ndugu Etienne Tshisekedi kutaka kujua mtazamo wake kuhusu uchaguzi na matokeo yajayo! Kwa hakika alionyesha kujiamini na akatuahidi kuyapokea matokeo yoyote yale ya haki. Ingawa aliosha kulalamikia dalili za hujuma ambozo ni kweli zipo, hakusema atapinga matokeo.

UPDATES

Mtanisame net inasumbua sana hapa!
Kwa wale wenye kubeza siwashangai kwakuwa nililitarajia hili! Naamini wengi hamjui misheni za kiusalama!
Kuna haja ya kuanzisha mafunzo hapa jf ili kupunguza ubishi usio na maana!

Kutokana na halihalisi ya mambo tumelazimika kweka kambi makao makuu ya tume ya uchaguzi kwa kazi moja tu ya kubadili matokeo, nitawaomba niwape habari baada ya kutangazwa matokeo ila kwa wale wana jf mliopo Congo naomba endeleeni kutoa matokeo!

UPDATES

Wana jf upepo unakwenda vema baada ya kuubadili mwelekeo, ikiwa ni tayari 25% ya kura zote zimeshahesabiwa Mr Kabila anaongoza kwa asilimia 58 dhidi ya wapinzani wake akiwa na kura 1.86milioni!
Kwa mda wa siku mbili hali ilikuwa tete kidogo baada ya mkuu wa tume kuonyesha kusimamia haki huku ikulu ya kinshasa ikishinikiza matakwa yake!
Vuteni subira lakini hiyo ndiyo hali halisi ya Uchaguzi hapa ba Kongo!

UPDATES

Tume ya uchagu imeahiri kutangaza matoke ambayo mpa dakika hii anaongoza kabila kwa 59.8% dhi ya 34% za mpinzani wake wakaribu!
Baada ya masaa 48 ndipo yatatangazwa rasmi! Hii imetokana na vurugu zilizopelekea watu 18 kuuwa tangu juzi!
 
nipo kinshasa kusimamia uchaguzi hapa kongo! Hali ya usalama ni nzuri na watu wanaendelea kupiga kura bila hofu yoyote!nitawajuza kila kitu kitakachoendelea hapa kongo!!
shukrani great thinker leta story za ukweli usijisahau ukaanza kucheza ndombolo huko mkuu leta news sitoki hapa
 
Updates:
Nipo jimbo la Katanga mida hii watu bado wapo kwenye vituo na upigwaji wa kura unaendele na sijajua saa ngapi utaisha!
Kulikuwa na rabsha za hapa na pale kule kinshasa lakini mungu anasaidia vikosi vya usalama viko imara, binafsi kwa mtazamo wa wapigakura japo kuhesabiwa kura bado taswira nyingi za wakongomani zinatoa ushindi kwa Kabila!

Uwepo wangu huku ni kwa kazi moja tu nayo ni kuhakikisha Joseph Kabila anashinda hiyo ni kwa mujibu wa agizo la magogoni!

Ningewapa picha ila mtanisamehe hii ni kwa mjibu wa taratibu za kazi yangu ya kiusalama japo ninasimu yenye kamera!
Endelea kufuatilia kila hatua ya kumrudisha madarakani kabila!!
 
Naaam ndugu wanajf niasubuhi kumekucha pilika ni nyingi hapa kongo, hali ya usalama siyo mbaya japo jana mapigano ya ghafla yalizuka na kusababisha watu watano kupoteza maisha kule kinshasa!

Shuguli za kuhesabu kura zinaendelea katika vituo karibu vyote!

Mida ya saa nne na nusu asubuhi za hapa nitalazimika kurudi kinshasa kwa mkutano wa dharura na Kabila! Usi log off jf upate yatakakuwa yameongelewa!
 
Updates
Jana majira ya saa sita kasoro maafisa usalama toka tz tulikutana mgombea wa upinzani ndugu Etienne Tshisekedi kutaka kujua mtazamo wake kuhusu uchaguzi na matokeo yajayo! Kwa hakika alionyesha kujiamini na akatuahidi kuyapokea matokeo yoyote yale ya haki. Ingawa aliosha kulalamikia dalili za hujuma ambozo ni kweli zipo, hakusema atapinga matokeo.

Updates

Naaaam nakaribia Kinshasa tayari kwa mkutano na Mr Kabila.
Ninawaomba muwe wavumilivu nitawahabarisha kilicho ongelewa baada ya mkutano wetu!
 
Updates:
Nipo jimbo la Katanga mida hii watu bado wapo kwenye vituo na upigwaji wa kura unaendele na sijajua saa ngapi utaisha!
Kulikuwa na rabsha za hapa na pale kule kinshasa lakini mungu anasaidia vikosi vya usalama viko imara, binafsi kwa mtazamo wa wapigakura japo kuhesabiwa kura bado taswira nyingi za wakongomani zinatoa ushindi kwa Kabila!

Uwepo wangu huku ni kwa kazi moja tu nayo ni kuhakikisha Joseph Kabila anashinda hiyo ni kwa mujibu wa agizo la magogoni!

Ningewapa picha ila mtanisamehe hii ni kwa mjibu wa taratibu za kazi yangu ya kiusalama japo ninasimu yenye kamera!
Endelea kufuatilia kila hatua ya kumrudisha madarakani kabila!!
Salimu mitu yote ya Tanzania, baambie sisi watu wa Kinshansa tunabapenda sana.
 
kaka FEREE GOLLA ana show mida fulani leo jioni kamuwakilishe papaaa ndama..................kwi kwii kwiii
 
Tuko pamoya na mweye na Dieu azidishe kuwabariki. Tunawatakia amani katika hii temps ya Elections. Basalimiye bote na bambiye bazidi kuwa ngufu!
 
Updates
Jana majira ya saa sita kasoro maafisa usalama toka tz tulikutana mgombea wa upinzani ndugu Etienne Tshisekedi kutaka kujua mtazamo wake kuhusu uchaguzi na matokeo yajayo! Kwa hakika alionyesha kujiamini na akatuahidi kuyapokea matokeo yoyote yale ya haki. Ingawa aliosha kulalamikia dalili za hujuma ambozo ni kweli zipo, hakusema atapinga matokeo.

Mie niko upande wa mashariki mwa congo so far hali ni shwari ingawa ndio base ya Victor Kamele ambaye kwa dalili zote anaonekana kutaka kuyakataa matokeo kabla ya kula kumalizika kuhesabiwa...kinachoonekana mijini ambayo iko delicate kuweza kutokea machafuko ni goma,kisangani na Bukavu...Most of makampuni ya kigeni yanajaribu kuwahamishishwa wafanyakazi wao kuwapeleka
kigali ni na enttebe.

Nchi zinazo zunguka DRC...Zinawatu wake wengine kama external observer na wengine kama wewe kuja kuhakikisha linalo wezekana kuhakikisha kabilia anarudi madarakani ili kuendelea na hii amani kidogo kwa muda wa 5 yrs tena...
Mtizamo wa tichesekedi ana ana nguvu sana upande wa kinshasa na vijana wengi hawamkubali ila wazee wenye mlengo wa kulia na wakati kidogo...tuendelee....
 
Mie niko upande wa mashariki mwa congo so far hali ni shwari ingawa ndio base ya Victor Kamele ambaye kwa dalili zote anaonekana kutaka kuyakataa matokeo kabla ya kula kumalizika kuhesabiwa...kinachoonekana mijini ambayo iko delicate kuweza kutokea machafuko ni goma,kisangani na Bukavu...Most of makampuni ya kigeni yanajaribu kuwahamishishwa wafanyakazi wao kuwapeleka
kigali ni na enttebe.

Nchi zinazo zunguka DRC...Zinawatu wake wengine kama external observer na wengine kama wewe kuja kuhakikisha linalo wezekana kuhakikisha kabilia anarudi madarakani ili kuendelea na hii amani kidogo kwa muda wa 5 yrs tena...
Mtizamo wa tichesekedi ana ana nguvu sana upande wa kinshasa na vijana wengi hawamkubali ila wazee wenye mlengo wa kulia na wakati kidogo...tuendelee....

Ukiwa na mishe za kwenda Uvira nijulishe kuna ishu nataka nikutume kwenye familia ya Mwami marandura
 
Ukiwa na mishe za kwenda Uvira nijulishe kuna ishu nataka nikutume kwenye familia ya Mwami marandura

Sawa Mkuu...Wenzangu wameenda kuhojiana na mwami kazi wa bukavu...Ukizingatia alihusika sana wkaati wa kufungua mgodi wa kwanza wa dhahabu wa Banro.Atahusika sana kama wakimpeleka kwenye media kwa ushawishi wa juu ya kabila mission ya mataifa mengi ya ukanda wa east and central africa wangependa kabilla apite...

Ila mie naweza toka uku before hakujaripuka .
 
Sawa Mkuu...Wenzangu wameenda kuhojiana na mwami kazi wa bukavu...Ukizingatia alihusika sana wkaati wa kufungua mgodi wa kwanza wa dhahabu wa Banro.Atahusika sana kama wakimpeleka kwenye media kwa ushawishi wa juu ya kabila mission ya mataifa mengi ya ukanda wa east and central africa wangependa kabilla apite...

Ila mie naweza toka uku before hakujaripuka .

Mkuu aliyehusika na kufungua mgodi wa kwanza wa Banro ni mwamikazi wa Bukavu au Mwami kazi wa Luhwindja?

Nadhani kwa sasa kilichokikubwa ni kuomba haya mambo yapite kw amani tu, inaonekana Bwana 'Tribe' hawezi kukubali kuachia kiti kwa gharama yoyote ile, bado makosa ya upinzani kwa nchi za kia afrika yanaendelea kuwanufaisha walioko madarakani. Kama Kamere na Tshisekedi wangeungana kazi ya kuingia madarakani ingekuwa rahisi sana kwa upinzani ila sasa wamempa mkuu Tribe nafasi ya wazi kabisa.........
 
Back
Top Bottom