UCHAGUZI MKUU: ACT kuvuruga mipango ya CCM na UKAWA

UCHAGUZI MKUU: ACT kuvuruga mipango ya CCM na UKAWA

Msulibasi

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
5,957
Reaction score
8,005
Kisha baada ya bunge kuvunjwa patatokea wanasiasa watakaoasi si tu kutoka CCM bali hata kutoka UKAWA . ni vizuri UKAWA wakajiandaa kisaikoloji kwani wapo wanachama waliokuwa na mipango ya muda mrefu kugombe katika nafasi mbalimbali ambao kutokana na sera ya kupishana ya UKAWA wakakosa uvumilivu ,hawa wataenda ACT. Vivyo hivyo watakaoenguliwa CCM wataenda ACT. ni wazi kuwa ACT itaimarika ghafla na kuleta upinzani usiotarajiwa kwa CCM halikadhalika UKAWA. Kwa namna hiyo CCM na UKAWA watalazimika kuingia uchaguzi wa marudio maana inawezekana ACT kupata kati ya asilimia 18% mpaka 23% na kuacha asilimia 82 mpaka 77 hii itategemea mgombea wao wa urais. Tunzeni hii ha projection mutaikumbuka. msiwadharau kina Kitila wana dhamira na watashirikiana na kila atakayekuwa tayari kukamilisha malengo UKAWA mna kazi ya ziada maana mnawadharau hawa ACT
 
Oktoba watakuwa bado mahakamani, na kesi yao itakuwa bado mbichi.
 
Watanzania tayari wanafahamu rais wao ni Dr Slaa. Hata Sitta alikwisha tahadharisha kwamba mtu wa kuogopwa katika uchaguzi wa mwaka huu ni Dr Slaa. Wengine hao wanajisumbua bure tu.
 
Kazi mnayo, huku mnagombana lakini bado mnatamani umaarufu mmekuwa sawa na fisi kila nyama anataka iwe yake.
 
Ninyi subilini Lowasa tu baada ya kutoswa CCM najua atahamia kwenu ili kuidhoofisha CCM na kusaidia UKAWA kushinda kiulaiiini kabisa
 
Kisha baada ya bunge kuvunjwa patatokea wanasiasa watakaoasi si tu kutoka CCM bali hata kutoka UKAWA . ni vizuri UKAWA wakajiandaa kisaikoloji kwani wapo wanachama waliokuwa na mipango ya muda mrefu kugombe katika nafasi mbalimbali ambao kutokana na sera ya kupishana ya UKAWA wakakosa uvumilivu ,hawa wataenda ACT. Vivyo hivyo watakaoenguliwa CCM wataenda ACT. ni wazi kuwa ACT itaimarika ghafla na kuleta upinzani usiotarajiwa kwa CCM halikadhalika UKAWA. Kwa namna hiyo CCM na UKAWA watalazimika kuingia uchaguzi wa marudio maana inawezekana ACT kupata kati ya asilimia 18% mpaka 23% na kuacha asilimia 82 mpaka 77 hii itategemea mgombea wao wa urais. Tunzeni hii ha projection mutaikumbuka. msiwadharau kina Kitila wana dhamira na watashirikiana na kila atakayekuwa tayari kukamilisha malengo UKAWA mna kazi ya ziada maana mnawadharau hawa ACT

thread yenye hadhi ya chini kuliko zote kwa mwanzo wa huu mwaka!
 
Ninyi subilini Lowasa tu baada ya kutoswa CCM najua atahamia kwenu ili kuidhoofisha CCM na kusaidia UKAWA kushinda kiulaiiini kabisa
Lowasa atakwenda ukawa hilo kaa ukijua ukawa hawana mgombea kabisa.
 
Kisha baada ya bunge kuvunjwa patatokea wanasiasa watakaoasi si tu kutoka CCM bali hata kutoka UKAWA . ni vizuri UKAWA wakajiandaa kisaikoloji kwani wapo wanachama waliokuwa na mipango ya muda mrefu kugombe katika nafasi mbalimbali ambao kutokana na sera ya kupishana ya UKAWA wakakosa uvumilivu ,hawa wataenda ACT. Vivyo hivyo watakaoenguliwa CCM wataenda ACT. ni wazi kuwa ACT itaimarika ghafla na kuleta upinzani usiotarajiwa kwa CCM halikadhalika UKAWA. Kwa namna hiyo CCM na UKAWA watalazimika kuingia uchaguzi wa marudio maana inawezekana ACT kupata kati ya asilimia 18% mpaka 23% na kuacha asilimia 82 mpaka 77 hii itategemea mgombea wao wa urais. Tunzeni hii ha projection mutaikumbuka. msiwadharau kina Kitila wana dhamira na watashirikiana na kila atakayekuwa tayari kukamilisha malengo UKAWA mna kazi ya ziada maana mnawadharau hawa ACT

Sasa mbona hyo ACT haina mwenyekiti wala katibu wote wameshafukuzana chama kitajijengaje? Una matarajio watafika hyo octeber au wanaanzisha chama kingine?
 
Mgogoro wa ACT sasa
watinga mahakamani
 Posted by: Saed Kubenea
 2 days ago  0 Comments
 300 Views
HATIMAYE yametimia. Alliance for Change
and Transparency (ACT-Tanzania), chama
kipya cha siasa nchini na ambacho
kilitarajiwa kuongozwa na Zitto Zuberi
Kabwe, mbunge wa Kigoma Kaskazini,
kimemfungulia kesi Samson Mwigamba na
genge lake. Anaandika Saed Kubenea.
Kesi hiyo imefunguliwa Mahakama
Kuu, Kanda ya Dar es Salaam na
Lucas Kadavi Limbu, mmoja wa
waasisi na mwenyekiti wa taifa wa
chama hicho na wenzake watano.
Viongozi wengine wa ACT walioungana na
Limbu kumfungulia kesi Mwigamba,
aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho
na ambaye amefukuzwa uwanachama, ni
Leopald Mahona, naibu katibu mkuu
(Bara) na Grason Nyakarungu, katibu
mwenezi na mwenyekiti wa vijana taifa.
Wengine walifungua kesi hiyo, ni
Ramadhani Suleiman, makamu
mwenyekiti (Zanzibar) na mwenyekiti wa
ngome ya wanawake, Dotto Chacha
Wangwe. Kesi hiyo ni Na. 1 ya mwaka
2015.
Katika hati ya kiapo kilichowasilishwa
mahakamani, Limbu, Nyakarungu,
Mahona, Ramadhani na Wangwe, wanadai
kuwa Mwigamba na Prof. Kitila, mshauri
mkuu wa chama hicho, wamefanya
mapinduzi ndani ya chama kinyume na
katiba ya ACT.
Prof. Kitila aliyekuwa mjumbe wa Kamati
Kuu (CC), ndani ya Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (Chadema), alifukuzwa
uanachama mwaka mmoja uliopita; ndipo
akajiunga na ACT-Tanzania.
Alituhumiwa kushiriki njama za kuhujumu
chama na kuandaa mipango isiyo halali ya
kubadilisha uongozi Chadema. Alikiri
kushiriki njama.
Katika ACT, Prof. Kitila anakabiliwa na
tuhuma zilezile. Naye Mwigamba ambaye
alikuwa mwenyekiti wa Chadema mkoa
wa Arusha, alifukuzwa kwa madai ya
“kuhujumu chama, usaliti, kukashifu
viongozi wakuu wa chama na
uchonganishi.”
Katika chama kipya sasa, Mwigamba na
Prof. Kitila wanatuhumiwa makosa
yaleyale na hasa kile kinachoitwa “kutaka
kuleta mapinduzi ili Zitto Kabwe, ambaye
pia alifukuzwa Chadema, aweze kuwa
mwenyekiti wa ACT-Tanzania.”
 
Kisha baada ya bunge kuvunjwa patatokea wanasiasa watakaoasi si tu kutoka CCM bali hata kutoka UKAWA . ni vizuri UKAWA wakajiandaa kisaikoloji kwani wapo wanachama waliokuwa na mipango ya muda mrefu kugombe katika nafasi mbalimbali ambao kutokana na sera ya kupishana ya UKAWA wakakosa uvumilivu ,hawa wataenda ACT. Vivyo hivyo watakaoenguliwa CCM wataenda ACT. ni wazi kuwa ACT itaimarika ghafla na kuleta upinzani usiotarajiwa kwa CCM halikadhalika UKAWA. Kwa namna hiyo CCM na UKAWA watalazimika kuingia uchaguzi wa marudio maana inawezekana ACT kupata kati ya asilimia 18% mpaka 23% na kuacha asilimia 82 mpaka 77 hii itategemea mgombea wao wa urais. Tunzeni hii ha projection mutaikumbuka. msiwadharau kina Kitila wana dhamira na watashirikiana na kila atakayekuwa tayari kukamilisha malengo UKAWA mna kazi ya ziada maana mnawadharau hawa ACT

Nyinyi ni CCM tu, sasa ww na wenzi wako subirini kuulizwa na wananchi kuwa wapinzani wameungana kuiondoa ccm je nyinyi mpo upande gani?
 
Kisha baada ya bunge kuvunjwa patatokea wanasiasa watakaoasi si tu kutoka CCM bali hata kutoka UKAWA . ni vizuri UKAWA wakajiandaa kisaikoloji kwani wapo wanachama waliokuwa na mipango ya muda mrefu kugombe katika nafasi mbalimbali ambao kutokana na sera ya kupishana ya UKAWA wakakosa uvumilivu ,hawa wataenda ACT. Vivyo hivyo watakaoenguliwa CCM wataenda ACT. ni wazi kuwa ACT itaimarika ghafla na kuleta upinzani usiotarajiwa kwa CCM halikadhalika UKAWA. Kwa namna hiyo CCM na UKAWA watalazimika kuingia uchaguzi wa marudio maana inawezekana ACT kupata kati ya asilimia 18% mpaka 23% na kuacha asilimia 82 mpaka 77 hii itategemea mgombea wao wa urais. Tunzeni hii ha projection mutaikumbuka. msiwadharau kina Kitila wana dhamira na watashirikiana na kila atakayekuwa tayari kukamilisha malengo UKAWA mna kazi ya ziada maana mnawadharau hawa ACT
Wakati baadhi ya watu wanabadilisha fani,mfano kutoka udaktari na kuingia kwenye siasa,kuna baadhi ya watu nao wamebadili "hobbies" kutoka kucheza bao,karata,computer games n.k na kuja kushiriki mijadala hapa Jamiiforums wakidhani jukwaa la siasa ni sehemu ya kujiburudisha-Salary Slip wa Jamiiforums.
 
Hakuna anaye weza kuthubutu kujiunga na chama cha wasaliti vinginevyo kama ana tafuta kifo kama ACT yenyewe.
 
Kisha baada ya bunge kuvunjwa patatokea wanasiasa watakaoasi si tu kutoka CCM bali hata kutoka UKAWA . ni vizuri UKAWA wakajiandaa kisaikoloji kwani wapo wanachama waliokuwa na mipango ya muda mrefu kugombe katika nafasi mbalimbali ambao kutokana na sera ya kupishana ya UKAWA wakakosa uvumilivu ,hawa wataenda ACT. Vivyo hivyo watakaoenguliwa CCM wataenda ACT. ni wazi kuwa ACT itaimarika ghafla na kuleta upinzani usiotarajiwa kwa CCM halikadhalika UKAWA. Kwa namna hiyo CCM na UKAWA watalazimika kuingia uchaguzi wa marudio maana inawezekana ACT kupata kati ya asilimia 18% mpaka 23% na kuacha asilimia 82 mpaka 77 hii itategemea mgombea wao wa urais. Tunzeni hii ha projection mutaikumbuka. msiwadharau kina Kitila wana dhamira na watashirikiana na kila atakayekuwa tayari kukamilisha malengo UKAWA mna kazi ya ziada maana mnawadharau hawa ACT

Kama kuna mtu alishawahi kufa akafufuka basi act itakuwepo kipindi hicho kwani chama tayari kishajifia.
 
Back
Top Bottom