MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 254
CCM LAZIMA WAIZOME NAMBA AISEE
hii ni moja ya sababu lakini tetesi zinadokeza kwamba kuna mambo makubwa la uda lina afadhari , tuendelee kuomba Mungu .Waliojimilikishia Uda nadhan ndio wameshinikiza uchaguzi uhairishwe
Alipo masaburi sijui kitambi kinacheza vipi maana anajua kuwa umea wa jiji ukienda ukawa madudu yake yoote njeWaliojimilikishia Uda nadhan ndio wameshinikiza uchaguzi uhairishwe
Ccm ilikuwa wakati wa nyerere siyo sasaukikomaa na polisi wakikaa kando , ccm ni wepesi kuliko pamba .
Hyo ni delay tactics ili wale mawaziri ambao hawajaapishwa wapige kura baada ya kuapishwa hivi karibuniconfirmed - umeahirishwa , wahusika hawajui hata sababu iliyowasukuma kuahirisha uchaguzi huo , bali kuna tetesi kwamba lumumba inataka mamluki wapige kura , kwa hofu kwamba UKAWA ikichukua jiji itafukua uozo wa kutisha ambao wadadisi wanasema haujawahi kufanyika mahali popote duniani .
swali ni je wanazidi 13 ? hivi mtu mwenye uwezo mdogo kama Juma simba Gaddafi ndio wa kumuachia aratibu njama nzito kama hii ? hataweza .Hyo ni delay tactics ili wale mawaziri ambao hawajaapishwa wapige kura baada ya kuapishwa hivi karibuni
Mkuu kumbuka ni umeya wa jiji so mamluki wote kutoka wilaya zote watakwepo kino tu walikwepo c chini ya sita akina balozi mahiga et alswali ni je wanazidi 13 ? hivi mtu mwenye uwezo mdogo kama Juma simba Gaddafi ndio wa kumuachia aratibu njama nzito kama hii ? hataweza .