hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
Hayawi hayawi sasa yanaenda kuwa. Leo tarehe 30/12/2017 CCM wanazindua kwa kishindo kikuu kampeni zao za kumnadi mgombea ubunge jimbo la Songea mjini katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika trh 13 January 2018. Uzinduzi huu utakaofanyika kuanzia saa nane Mchana katika kata ya Lizaboni utarushwa live kupitia ukurasa huu wa Jf, vyombo mbalimbali vya habari pamoja live streams zingine.
Songea mjini wameamua kwenda na Mwanasheria msomi mwalimu wa Chuo kikuu Doctor Damian Ndumbaro. Tafadhali usikose kuhudhuria kama uko songea na usikose kufuatilia live updates hapa jf kama upo mbali na songea na zaidi kuwa karibu na TV yako fungulia Chanel 10, ITV au tbc1.
Songea Twende na Dr Ndumbaro
Songea mjini wameamua kwenda na Mwanasheria msomi mwalimu wa Chuo kikuu Doctor Damian Ndumbaro. Tafadhali usikose kuhudhuria kama uko songea na usikose kufuatilia live updates hapa jf kama upo mbali na songea na zaidi kuwa karibu na TV yako fungulia Chanel 10, ITV au tbc1.
Songea Twende na Dr Ndumbaro