UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA NGORONGORO
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka Leo Ijumaa 26 Novemba 2021, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Ngorongoro, Kumnadi na kumuombea kura mgombea Ubunge jimbo la Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai. Katika Tarafa ya Malambo kata ya Sale.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka Leo Ijumaa 26 Novemba 2021, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Ngorongoro, Kumnadi na kumuombea kura mgombea Ubunge jimbo la Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi Ndg Emmanuel Shangai. Katika Tarafa ya Malambo kata ya Sale.