Uchaguzi mdogo sio kipimo cha uchaguzi 2020

VIVIANET

JF-Expert Member
Aug 30, 2015
2,129
2,918
Wapendwa nimeshangaa kuona watu wengi wakisema kwamba uchaguzi mdogo umetoa dira ya uchaguzi 2020 napenda kusema kwa mtazamo wangu siyo kweli kabisa, pia nimewaona wachambuzi washabiki wanaotafuta uwaziri wakisema ccm 2020 inakuwa kwenye mteremko.

Niwahakikishie Watanzania wenzangu kuwa uchaguzi wa 2020 kama kutakuwepo tume huru ya uchaguzi watu hawata amini watakachokiona.. uchaguzi huu ni kama utafiti na uchambuzi uliokuwa unafanywa hapa USA wakati wa kampeni za Urais hakuna mtu aliyedhani Trump angeshinda hadi watu walipata shock wakafa..
2020 watu watapata shock maana miaka 4 ijayo nimingi sana you can't predict anything
 
Uhamishaji magoli naona unaendelea!
Mwenzako Salary Slip alishauleta uzi humu akitabiri kuwa Chaguzi hizi ndogo ni kipimo tosha cha Kukubalika au Kupinga kwa Serikali Hii ya Awamu ya Tano!
Subiri niufukue ule uzi!
 
Uhamishaji magoli naona unaendelea!
Mwenzako Salary Slip alishauleta uzi humu akitabiri kuwa Chaguzi hizi ndogo ni kipimo tosha cha Kukubalika au Kupinga kwa Serikali Hii ya Awamu ya Tano!
Subiri niufukue ule uzi!


Sijauona huo maana tumetofautiana masaa. Hivi sasa mpo mbele masaa 8 kwahiyo kuna mada nyingi nazikosa
 
Wapendwa nimeshangaa kuona watu wengi wakisema kwamba uchaguzi mdogo umetoa dira ya uchaguzi 2020 napenda kusema kwa mtazamo wangu siyo kweli kabisa, pia nimewaona wachambuzi washabiki wanaotafuta uwaziri wakisema ccm 2020 inakuwa kwenye mteremko.

Niwahakikishie Watanzania wenzangu kuwa uchaguzi wa 2020 kama kutakuwepo tume huru ya uchaguzi watu hawata amini watakachokiona.. uchaguzi huu ni kama utafiti na uchambuzi uliokuwa unafanywa hapa USA wakati wa kampeni za Urais hakuna mtu aliyedhani Trump angeshinda hadi watu walipata shock wakafa..
2020 watu watapata shock maana miaka 4 ijayo nimingi sana you can't predict anything
Kwahiyo unashindana na kumpinga mwanasheria wako alisema kabla kua uchaguz mdogo ni kipimo cha kukubarika kwa sisiem
 
Kamanda wenu Iisu alishasrma ndio kipimo we umekuja na jipya mbilona mnaanza kupotezana mapema hivi tulieni someni game mjipange muone mtachomokaje msipaniki huu mchezo hauitaji hasira
 
Wapendwa nimeshangaa kuona watu wengi wakisema kwamba uchaguzi mdogo umetoa dira ya uchaguzi 2020 napenda kusema kwa mtazamo wangu siyo kweli kabisa, pia nimewaona wachambuzi washabiki wanaotafuta uwaziri wakisema ccm 2020 inakuwa kwenye mteremko.

Niwahakikishie Watanzania wenzangu kuwa uchaguzi wa 2020 kama kutakuwepo tume huru ya uchaguzi watu hawata amini watakachokiona.. uchaguzi huu ni kama utafiti na uchambuzi uliokuwa unafanywa hapa USA wakati wa kampeni za Urais hakuna mtu aliyedhani Trump angeshinda hadi watu walipata shock wakafa..
2020 watu watapata shock maana miaka 4 ijayo nimingi sana you can't predict anything
Wangeshinda chagadema kingekua kielelezo cha ushindi, barstad, shwine, genda kuli!
 
Tatizo huwa mmeshapanga majibu kabla hata hamjasoma vizuri, mkiona tu heading tayari mnapata majibu. ccm imewaharibu akili kiasi kwamba hata mngetesekaje na wananchi kulalamikia mateso wanayopata mnabaki kupongeza tu. sasa kubalini kuwepo na tume huru ya uchaguzi itakayosimamiwa na viongozi wa dini tuone kama mtapata wabunge 60 nchi hii....Akiondoka JPM akija mwingine ndipo mtaanza kukubali kwamba nchi ilikuwainaendeshwa vibaya kama mnavyosema leo
 
Back
Top Bottom