Nadhani ifanyike analysis kwanza ya wabunge wa upinzani waliogombea uchaguzi uliopita. Na kuona ni nani hasa anakubalika ktk jamii hiyo
In Kiteto, Benedict Losuruti of CCM won with 30,483 votes, while his close opponent, Chademas Victor Kimesera followed with 22,565 votes. That was 2005 election. What should we expect from the by election?
Asha
Jambo ambalo linanishangaza kuhusu Tume ya uchaguzi ni namna inavyotangaza uchaguzi katika majimbo. Nakumbuka Mbunge Pharesi Kabuye wa jimbo la Biharamulo TLP(kama sijakosea) matokeo yake, yalitenguliwa na mahakama mapema hata kabla ya kifo cha huyo wa kiteto, lakini nashangaa uchaguzi katika jimbo hilo haujatangazwa mapka leo. Kwa nini?
Kabuye alikata rufaa. Hicho kiti hakiwezi kutangazwa kuwa wazi hadi mwisho wa process za mahakama, including kupeleka nakala ya hukumu kwa Spika na Tume ya Uchaguzi.