Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,502
- 156
Heshima Mbele wnabodi,Tayari Jaji Mstaafu Lewis Makame keshatangaza tarehe ya uchaguzi wa jimbo la kiteto ambalo Mbunge wake alifariki Desemba 16 mwaka jana,marehemu Benedict Kiroya Losurutia.Uchaguzi utafanyika tarere 24 Februrari 2008 na uteuzi wa wagombea ni tarehe 29 Januari 2008 na kampeni zitaanza tarehe 30 Januari mpaka 23 Februari 2008.
wapinzani wa vyama vikubwa vinne waliungana,Je hawaoni ni wakati muafaka kwa sasa kupendekeza jina la mtu mmoja ambaye atagombea na kushinda jimbo hilo la kiteto?.Naomba wanachama wa JF wamependekeze ni nani apewe jukumu la kugombea.Je ni mzee wa kilalacha arude bungeni(MREMA)?Je James Mbatia?tunahitaji tingatinga ili likaongezee nguvu ya upinzani bungeni.Ninaamini kukiwa na ushirikiano na busara za JF tukipigia kampeni ya kuamsha hari basi tarehe 25 Februari kutakuwa na mbunge wa upinzani.
pendekezeni jina la mgombea unafikiri anuzika na asiye fisadi,na kwasababu mawazo naamini viongozi wa vyama hivi vinne ni wanachama wazuri wa JF ,tunahitaji kumkoma Nyanmi giladi sababu tumeshachoka kuzugwa bila kuzugika.
tuna siku 15 tu kuweza kuchagua mgombea wa Upinzani.Naomba kuwasilisha
wapinzani wa vyama vikubwa vinne waliungana,Je hawaoni ni wakati muafaka kwa sasa kupendekeza jina la mtu mmoja ambaye atagombea na kushinda jimbo hilo la kiteto?.Naomba wanachama wa JF wamependekeze ni nani apewe jukumu la kugombea.Je ni mzee wa kilalacha arude bungeni(MREMA)?Je James Mbatia?tunahitaji tingatinga ili likaongezee nguvu ya upinzani bungeni.Ninaamini kukiwa na ushirikiano na busara za JF tukipigia kampeni ya kuamsha hari basi tarehe 25 Februari kutakuwa na mbunge wa upinzani.
pendekezeni jina la mgombea unafikiri anuzika na asiye fisadi,na kwasababu mawazo naamini viongozi wa vyama hivi vinne ni wanachama wazuri wa JF ,tunahitaji kumkoma Nyanmi giladi sababu tumeshachoka kuzugwa bila kuzugika.
tuna siku 15 tu kuweza kuchagua mgombea wa Upinzani.Naomba kuwasilisha